Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Unategemea nani angefanya huu upumbavu wakati wa jiwe? Angetumbuliwa hata akiwa chooni.Hivi enzi za Jiwe gazeti gani lingeweza report habari kama hii?
Unategemea nani angefanya huu upumbavu wakati wa jiwe? Angetumbuliwa hata akiwa chooni.Hivi enzi za Jiwe gazeti gani lingeweza report habari kama hii?
Namkumbuka namm nikiwa naelekea mpanda kutoka sumbawanga mjini nilifika hapo kwa pinda. Niliombwa lift na watu wawili na kukukubli kulipa nauli nikakubali kuwa pandisha wakt naondoka Kama machale yakanicheza nikawaambiwa najeuza narudi majimoto nimeitwa had kesho ndio nipite hapa walisikitika sna na kuniomba nifanye namna wafike tu mpanda kwa kuwa Kuna umuhimu wa kufika hata kwa garama yoyote nikawambia hapna nikawashusha wakt nawshusha walichukia sna nakuanza Kama kunitisha ..kumbe jamaaa wale walikuwa siyoo watakuwa na nyara Kama walitaka kuniuziaa msala mzito tokea siku hyo sitoi lift ovyo ovyo ukiwa na mizigo mnk unajikuta unabebeshwa nyara za serekali bila kujua kwa Kia's kdg snaa Cha ujiraNawaza tu hapo ukute dereva anasafiri mwenyewe ameamua ngoja achukue abiria wawili watatu hivi apunguze makali ya maisha kumbe amepakia mapusha ambao wanafuatliwa muda mrefu na wanausalama aisee hilo ni balaa zito.
Mateja hawajawani kuisha na hawatakuja kuisha,Akaifanya yeye alafu mateja wakaisha mitaa ya ufipa na manyanya?
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Ushaambiwa serikali inawatafuta wewe una conclude kama unavuja maudenda.Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Huu ujinga ulikuwepo sema hakuna ambaye angeweza report, acha kujitoa akili mkuu.Unategemea nani angefanya huu upumbavu wakati wa jiwe? Angetumbuliwa hata akiwa chooni.
Mkuu ulishawahi udhuria mahakani kusikiliza hizi kesi, watu wanalimwa mvua kama kawaida sio kila hukumu ilitoka lazma iwe published na vyombo vya habari.
Wacha pesa isambae mtaani. Na sisi wanyonge tupate.Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Yaani watu mnapenda sana Political Drama...Mateja waliisha kabisa na afya za vijana zikaimarika
Moja ya vitu vichache sana nilivyokubaliana na jiwe ni kwenye madawa ya kulevya hasa hasa baada ya kuwashughulikia mapapa hawa wa madawaHivi enzi za Jiwe gazeti gani lingeweza report habari kama hii?
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Mama anaupigqa mwingi ccGazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Vijana wananiangusha sana kwa kukokuwa wafuatiliaji wale wote ambao wanaona wakilimwa mvua ni watu maarufu ndio maana unakuta vyombo vya habari vinamulika sana ila kiukweli watu wanafungwa vizuri kabisaWalizoea matangazo ya mwenda zake
Kama kuripoti tuu walikuwa wanaogopa, je kusafirisha wangeweza, Sasa wewe uliyekuwa unafanya hiyo biashara na mkikamatwa halafu mnamalizana kimyakimya lete ushuhuda hapaHuu ujinga ulikuwepo sema hakuna ambaye angeweza report, acha kujitoa akili mkuu.
Haya magari ni kama wanatumiaga Ma-DAS yaani Katibu Tawala wa Wilaya,Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Watasingizia urefu wa kamba tu iyo.Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.
My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.