Gari la Serikali lanaswa na madawa ya kulevya

Kwani lile jahazi lililokamatwa wakati wa uchaguzi lilipelekwa wapi na watu hao wako mahakama gani?
2 na lile bomba lamafuta la kigamboni ni nani alikua anaiba yale mafuta na mpaka sasa wamefikishwa wapi?
Wizi wa mafuta na madawa ya kulevya wapi na wapi boss wangu?
 
Kwani lile jahazi lililokamatwa wakati wa uchaguzi lilipelekwa wapi na watu hao wako mahakama gani?
2 na lile bomba lamafuta la kigamboni ni nani alikua anaiba yale mafuta na mpaka sasa wamefikishwa wapi?
Lile jahaz ulikuwa mzigo wa m2 mzito ndio maana kes imeisha kimya kimya na wapakistan hawajulikana walipo.
Iile bomba waliofanya uhuni ni makampun ya m2 mzito ndio maana hata kes yake huto ickia tena.
 
Mkuu, shida ya haya mambo watu sasa wamejiachia wako huru....
Mama yeye anajipigia vijembe tu wala hana habari na sensitive issues kama hizi.
Hizi biashara haramu isipokugusa wewe wewe, basi kuna ndugu yako inaweza kumuathiri.
Tunahitaji sana neema ya Mungu katika hili
Neema ya Mungu ndo ije izuie hayo madawa? Basi acha hangaya aendelee kuuchapa usingizi sisi tukisubiri.
 
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.

My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena.
Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.View attachment 2107438
makonda arudi wapi kwa sasa anasakwa akaripoti mahakamani ajibu tuhuma zinazomkabili enzi za utawala wa kifirahuni
 
Mmliki wake si ni serikali?
Ama munamaanisha dereva?

Anywas: Kamba zimeanza kukatika kwa hiyo ni kula popote.
namba si zinatengenezwa tu.inawezekana si gari la serikali ila limebandikwa namba hiyo ili iwe rahisi kuvusha hayo madawa.makonda alikuwa sahihi ila approach aliyokuwa anaitumia haikuwa sahihi.huenda pia naye alikuwa na maslahi yake huko.hii biashara ndo inayowatajirisha watu wengi hivyo serikali inatakiwa kuwa makini sana ndo maana hata maandiko yanasema ni vigumu kwa tajiri kuurithi ufalme wa Mungu kama alivyo ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.aliona matajiri karibu wote wanafanya illegal business.kongole kwa waliotoa taarifa ya dili hilo.
 
Mmiliki wa gari la serikali hajulikani ndo maana hawajataja namba za gari , wakitaja atajulikana
Hahah
Swali langu ni rahisi mno.

Lakini inamaanisha serikali ina wamiliki wadogo wadogo huko ndani siyo...

Mwandishi ni amaeture
 
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.

My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.



Mmiliki si serikali Jaman?
 
Gazeti la mwananchi limeripoti kuwa gari lenye namba za serikali limenaswa likiwa na kilo 430 za dawa za kulevya huku mmiliki wake akitokomea kusikojulikana na anaendelea kusakwa kila kona bila mafanikio.

My take.
Kwa kasi hii mateja na watu wanaotoa udenda barabarani wataanza kuonekana tena. Paul Makonda rudi kazini aisee uokoe vijana wetu.


Hivi enzi za Jiwe gazeti gani lingeweza report habari kama hii?
 
Back
Top Bottom