Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Nimefuatilia kwa mafundi.. mmoja alikuwa ni muwazi kabisa kasema nenda tu kwa manufacturer ukileleta kwangu nitalitengeneza lakini nitakulia hela tu kwani hata mimi itabidi niende huko huko kwa mtengenezaji! Mtengenezaji anataka nimuachie ili alipime kila kitu.. ndio anipe makisio ya gharama.. sasa nikimuachia gari ndo itakuwaje kuhusu safari zangu, nitatufe la kuazima?