Epuka jambo hili kama gari yako imeibiwa masega(Catalytic converter)

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
May 4, 2020
3,327
9,328
Jambo la kuepuka ni kuweka masega ya kuchomelea iwapo engine ya gari yako itakuwa na EGR.

EGR huwa inarudisha kiasi fulani cha moshi kwenda mahali ambako mafuta yanaungua(combustion chamber), kwa ajili ya kupunguza joto(combustion temperature) hivyo kupunguza pia kutengenezwa kwa Nitrogen Oxide gases(NOx). Kwa lugha nyingine EGR ni feedback loop kati ya exhaust na intake manfold.

Utajuaje kama gari yako ina EGR?

Angalia kama kuna pipe ya chuma ambayo inatoka kwenye exhaust manfold kurudi kwenye engine, kama ipo then gari yako inaweza kuwa na EGR 99%.

Nini kinatokea unapoweka masega ya kuchomelea na gari yako ina EGR?

Unapochomelea kuna vipande vya chuma huwa vibabakia kwenye exhaust, Vipande hivyo havitoki na moshi ila vitarudi kwenye engine kupitia EGR valve. (Nimeshaona hili kwenye engine za Nissan). vipande hivi husababisha shida kwenye egr kila baada ya muda au kama vikiingia kwenye engine vinaweza kuleta shida kubwa.

Hivyo ukiweza kupata masega original hata kama ni gharama wewe nunua tu, au modify oxygen sensor ya nyuma kama gari itakuwa inawasha check engine.

Gari nyingi za kuanzia 2007 zina EGR lakini zipo pia nyingi hata za kabla ya hapo ambazo zina egr, mfano Gari zote za D4 kama Noah voxy, Brevis, Rav 4, wish, n.k.
 
Jambo la kuepuka ni kuweka masega ya kuchomelea iwapo engine ya gari yako itakuwa na EGR.

EGR huwa inarudisha kiasi fulani cha moshi kwenda mahali ambako mafuta yanaungua(combustion chamber), kwa ajili ya kupunguza joto(combustion temperature) hivyo kupunguza pia kutengenezwa kwa Nitrogen Oxide gases(NOx). Kwa lugha nyingine EGR ni feedback loop kati ya exhaust na intake manfold.

Utajuaje kama gari yako ina EGR?

Angalia kama kuna pipe ya chuma ambayo inatoka kwenye exhaust manfold kurudi kwenye engine, kama ipo then gari yako inaweza kuwa na EGR 99%.

Nini kinatokea unapoweka masega ya kuchomelea na gari yako ina EGR?

Unapochomelea kuna vipande vya chuma huwa vibabakia kwenye exhaust, Vipande hivyo havitoki na moshi ila vitarudi kwenye engine kupitia EGR valve. (Nimeshaona hili kwenye engine za Nissan). vipande hivi husababisha shida kwenye egr kila baada ya muda au kama vikiingia kwenye engine vinaweza kuleta shida kubwa.

Hivyo ukiweza kupata masega original hata kama ni gharama wewe nunua tu, au modify oxygen sensor ya nyuma kama gari itakuwa inawasha check engine.

Gari nyingi za kuanzia 2007 zina EGR lakini zipo pia nyingi hata za kabla ya hapo ambazo zina egr, mfano Gari zote za D4 kama Noah voxy, Brevis, Rav 4, wish, n.k.

Karibu ofisini kwetu kwa Diagnosis na Repair ya matatizo mbalimbali ya gari yako mathalani yanayowasha taa kwenye dashboard.

Tupo Dar Sinza Kijiweni.

0621221606/0688758625
Kile kipande chenye masega nakipata kwa bei gani? Gari yangu ni Toyota Starlet
 
Katika vitu ambavyo naogopa na kulinda kwenye gari yangu ni huo wizi wa masega hii inatokana na kulaza gari kwenye garage za uswahilini.
Haya magari wakishaiba masega ni kama umeibiwa gari nzima
 
Back
Top Bottom