Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Gangstar Rio city of saint full kukaba na kuiba nagari risasi nje nje mixer mazombie.
 
Guys natafuta Eurotruck Simulator 'Bus mods'...Nimepata Patch tu...anayejua jinsi ya kuipata anijulishe gamers..
 
Tunaisubiri mzee tuwe tunakatiza huko Nyarugusu kufata mizigo
Ntakuwa nalipitisha magogoni palee napiga misele mpaka masaki nikitoka nampitia amu kinondoni tukale bata kigamboni
 
Ah ha haaaaaa.....kubabaaaabeki..ulikuwa unatoka na mtoto mzuri Urlike?
Urlike ni noma nimemhonga mercedes benz moja kaliii balaaa 0 km brandnew from the manufacturer kabisaaa showroom nililinunua kabisa mwenyewe cash bila mkopo showroom nikampelekea mtoto
 
Kwenye ets 2 hapo msaada tafadhali...nimecheza mpaka level ya 32 nikiwa na rank ya elite...naona haina mwisho...alafu kupata skills na rank ni kwa mbinde sanaa mpaka nimechoka kuendesha gari sasa nimeamua kuwapokonya magar watu nimeyauza yoteee,nimefukuza kazi kila mtu,nimepiga bei gerej zote nimeamua kuachana nalo! We umefika level ya ngap na rank gani ndio mwisho?
Nilifika Level kama ya 52 hili la karibuni..shida route moja Kms 2300 huko unachoka.niliuza kama wewe..na kuhama hama tu...
 
Wow,
Nilicheza Euro Track mpaka ikanichosha,
App take nnayo pamoja na full setup yote lakni si new version
 
Kwenye Vice city Hiyo mission ni ngumu kuliko mission zote za games zote

Ukija kwenye san andreas kuna mission ya train kuwaua wale jamaa "cj all you had to do is to follow the damn train"
San Andreas niliimaliza hiyo game bila cheats ni impossible
 
Hapo no.3 hiyo "IGA" ulimaanisha "IGI" au? Coz mimi ni mtaalamu wa Mission games ila hiyo IGA siifahamu but IGI nimeshaicheza hadi mission ya 14.....
 
Tafuta version 1.32 ni nzuri sana...tafuta Bus mods
Wacha wee, kumbe hii program ni pana kiasi hiki, had BUS Mods!
Aisee nimehamasika sana aisee.
Vipi hii version unaendesha mabasi ya abiria?

Nafikiri ni new version eeh!
 
Back
Top Bottom