Okay,ni hivi hawakulipi in real world ila inawekwa kwenye account yako ya bank...sasa hizo hela ndio zitakufanya uweze kufanya mambo mengi katika kampun yako kama vile
Kununua garage mpya na kuzikarabat za zaman
Kununua magari mapya(malori sio crown au vanguard)

Kuajiri wafanyakazi wapya
Kuwalipa mishahara
Kununua mafuta kwa ajili ya magari
Kufanyia service magari yako
Kununulia vipuri
Kununua kazi
Kulipa faini za tochi za pamoja na makosa ya barabarani
Kulipia toll fee
Kulipia ferry kwa route ambazo unavuka maji
So hela hapo ndio inahitajika ili uweze kufanya yote hayo!
Nadhani umenielewa sasa!
Halafu kuhusu hyo app sio lazima,unaweza kuignore tu,mimi sinunui vocha kwa mangi,nna salio la zaidi ya elfu ishirini kwenye simu kutokana na hyo app tu.