Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Yassin member akiwa na miaka 21 aliteka ndege na kumshinikiza nyerere aachie ngazi

Capt zakaria hanspope akiwa na miaka 25 alitaka kufanya mapinduzi


..

Kijana wa sasa hivi wa miaka 26 anashinda kwenye playstation
mwengine wa miaka 40 anashinda instagram anataja mashoga ...kweli tz konkii
 
Mzee mimi nilikuja mpaka africa huwezi amini!! Ila niliishia egypt kule kwenye jangwa nishakatisha sanaa!! Kimbembe wese likate jangwani!!
ramani mnaongezaje. kama ni ku download nipelink
 
Unalipwa pesa na ni watu in real world au wapo kwenye game tuu
Dah mzee sasa unaanzaje kulipwa pesa in real world,no free lunch in america!

Labda kwa kukusaidia tu naona una shida na hela,install app inaitwa geopoll ipakue kwenye appstore kama unatumia ios au playstore kama unatumia android.

Install then signup,it's all about survey questions,jibu maswali ukimaliza watakureward hela i mean salio la kwenye simu kutokana na mtandao unaotumia.

Sasa mpaka hapo na kuendelea utajua mwenyewe namna ya kuzibadili ziwe faranga
 
Kuna hii kitu inaitwa Detroit Become Human ni balaa.
Ukipata chance maliza na hii, every action you take determines the final outcome in the end.
So different people can have completely different stories. Game moja kali sana.

detroit-become-human-screen-07-ps4-us-30oct17
 
Unahisi Mi nashida na hizo pesa nimeshindwa elewa hayo malipo
Dah mzee sasa unaanzaje kulipwa pesa in real world,no free lunch in america!

Labda kwa kukusaidia tu naona una shida na hela,install app inaitwa geopoll ipakue kwenye appstore kama unatumia ios au playstore kama unatumia android.

Install then signup,it's all about survey questions,jibu maswali ukimaliza watakureward hela i mean salio la kwenye simu kutokana na mtandao unaotumia.

Sasa mpaka hapo na kuendelea utajua mwenyewe namna ya kuzibadili ziwe faranga
 
Unahisi Mi nashida na hizo pesa nimeshindwa elewa hayo malipo
Okay,ni hivi hawakulipi in real world ila inawekwa kwenye account yako ya bank...sasa hizo hela ndio zitakufanya uweze kufanya mambo mengi katika kampun yako kama vile
Kununua garage mpya na kuzikarabat za zaman
Kununua magari mapya(malori sio crown au vanguard)
Kuajiri wafanyakazi wapya
Kuwalipa mishahara
Kununua mafuta kwa ajili ya magari
Kufanyia service magari yako
Kununulia vipuri
Kununua kazi
Kulipa faini za tochi za pamoja na makosa ya barabarani
Kulipia toll fee
Kulipia ferry kwa route ambazo unavuka maji

So hela hapo ndio inahitajika ili uweze kufanya yote hayo!

Nadhani umenielewa sasa!

Halafu kuhusu hyo app sio lazima,unaweza kuignore tu,mimi sinunui vocha kwa mangi,nna salio la zaidi ya elfu ishirini kwenye simu kutokana na hyo app tu.
 
Kwenye ETS 2 unafanyaje kupanda rank maana me nikipele mzigo nikifika nachagua tena kazi na kila mda route inakua ni ile ile hadi naichoka
 
Okay,ni hivi hawakulipi in real world ila inawekwa kwenye account yako ya bank...sasa hizo hela ndio zitakufanya uweze kufanya mambo mengi katika kampun yako kama vile
Kununua garage mpya na kuzikarabat za zaman
Kununua magari mapya(malori sio crown au vanguard)
Kuajiri wafanyakazi wapya
Kuwalipa mishahara
Kununua mafuta kwa ajili ya magari
Kufanyia service magari yako
Kununulia vipuri
Kununua kazi
Kulipa faini za tochi za pamoja na makosa ya barabarani
Kulipia toll fee
Kulipia ferry kwa route ambazo unavuka maji

So hela hapo ndio inahitajika ili uweze kufanya yote hayo!

Nadhani umenielewa sasa!

Halafu kuhusu hyo app sio lazima,unaweza kuignore tu,mimi sinunui vocha kwa mangi,nna salio la zaidi ya elfu ishirini kwenye simu kutokana na hyo app tu.
Ntainunua inisaidie voucher huku ni expensive 10€
 
Anhaa rank zote ulijaza vile vibox!
Ilikugharim level ya ngap mpaka ukajaza rank zote!!

Me nimefunga kampuni aisee naona nakula hasara tu,route ndefu 2500km,hela nayolipwa kidogo,mafuta bei kubwa,bado faini za tochi za barabarani,matengezo ya magari na vipuri bei juu imagine kila ukifikisha mzigo unapaswa uende gereji kutengeza gari hata kama hujapata ajali ukabadilishe tairi na kumwaga oil,bado hapo benki nao wanaruka na wewe kudai marejesho ya mkopo,nikaona hapa naendesha kampuni kwa hasara tuu,nikafyekelea mbali kila kitu!!

Funny thing ni kwamba madereva wangu wote walikuwa totoz kaliii balaa!! Na wote niliwahonga mercedes benz!
Ah ha haaaaaa.....kubabaaaabeki..ulikuwa unatoka na mtoto mzuri Urlike?
 
Freedom fighters nimemaliza
IGI nimemaliza
GTA vice city...mission ya bwana "A" ya kulipua ghorofa imenishinda
Needs for speed nimecheza za aina tatu tofauti including hiyo most wanted
Hitman nimecheza
PES pia
Kwenye Vice city Hiyo mission ni ngumu kuliko mission zote za games zote

Ukija kwenye san andreas kuna mission ya train kuwaua wale jamaa "cj all you had to do is to follow the damn train"
 
Kwenye Vice city Hiyo mission ni ngumu kuliko mission zote za games zote

Ukija kwenye san andreas kuna mission ya train kuwaua wale jamaa "cj all you had to do is to follow the damn train"
hii game ya san andreas ilinishinda sababu sikuwa na cheats zake kipindi hiko sina simu ya google wala sijui nitazipataje nilikuwa nachokoza police tu basi
 
hii game ya san andreas ilinishinda sababu sikuwa na cheats zake kipindi hiko sina simu ya google wala sijui nitazipataje nilikuwa nachokoza police tu basi
Saivi unàweza ku download google missions
Yani mission ikiwa ngumu una download inayofata ni kbs
Unasave kweny my documents .gta san andreas
 
Back
Top Bottom