Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Games ambazo nimecheza mpaka mwisho

Freedom fighters nimemaliza
IGI nimemaliza
GTA vice city...mission ya bwana "A" ya kulipua ghorofa imenishinda
Needs for speed nimecheza za aina tatu tofauti including hiyo most wanted
Hitman nimecheza
PES pia
 
Yassin member akiwa na miaka 21 aliteka ndege na kumshinikiza nyerere aachie ngazi

Capt zakaria hanspope akiwa na miaka 25 alitaka kufanya mapinduzi


..

Kijana wa sasa hivi wa miaka 26 anashinda kwenye playstation
Tatizo nn.ww umefanya nn had apo ulipo
 
Ah haa haaa. Ww jamaa umeua uchumi wa Euro truck...naamaanisha kupata rank zote
Anhaa rank zote ulijaza vile vibox!
Ilikugharim level ya ngap mpaka ukajaza rank zote!!

Me nimefunga kampuni aisee naona nakula hasara tu,route ndefu 2500km,hela nayolipwa kidogo,mafuta bei kubwa,bado faini za tochi za barabarani,matengezo ya magari na vipuri bei juu imagine kila ukifikisha mzigo unapaswa uende gereji kutengeza gari hata kama hujapata ajali ukabadilishe tairi na kumwaga oil,bado hapo benki nao wanaruka na wewe kudai marejesho ya mkopo,nikaona hapa naendesha kampuni kwa hasara tuu,nikafyekelea mbali kila kitu!!

Funny thing ni kwamba madereva wangu wote walikuwa totoz kaliii balaa!! Na wote niliwahonga mercedes benz!
 
Euro truck simulator unamaliza vp?!
Anamaanisha zile rank za kama eco driving,delivery on time,high value cargo,long distance,ndio kajaza vile vibox vyote..me nilifika level ya 32 elite,wewe vipi mzee?
 
Kwenye simu kwasasa nacheza game ya BIA3 (Brothers In Army 3)...ila before nilikuwa nacheza Modern Combat na Critical Ops...mdau kwenye simu wacheza game gani?
Hii ikoje mzee
 
Anhaa rank zote ulijaza vile vibox!
Ilikugharim level ya ngap mpaka ukajaza rank zote!!

Me nimefunga kampuni aisee naona nakula hasara tu,route ndefu 2500km,hela nayolipwa kidogo,mafuta bei kubwa,bado faini za tochi za barabarani,matengezo ya magari na vipuri bei juu imagine kila ukifikisha mzigo unapaswa uende gereji kutengeza gari hata kama hujapata ajali ukabadilishe tairi na kumwaga oil,bado hapo benki nao wanaruka na wewe kudai marejesho ya mkopo,nikaona hapa naendesha kampuni kwa hasara tuu,nikafyekelea mbali kila kitu!!

Funny thing ni kwamba madereva wangu wote walikuwa totoz kaliii balaa!! Na wote niliwahonga mercedes benz!
Imekaaje hiyo sasa kwanj madereva ni watu wa kawaida.. Au
 
Anamaanisha zile rank za kama eco driving,delivery on time,high value cargo,long distance,ndio kajaza vile vibox vyote..me nilifika level ya 32 elite,wewe vipi mzee?

Sasa hizo si ukifika level ya 30 tu zimeisha lkn mambo mengine yanaendelea...ramani zinazidi kuongezeka kila siku
 
Back
Top Bottom