Bedullah
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 206
- 79
Hata uarabuni ambako ndiko chimbuko la uislamu wanafanya kazi siku tano na kupumzika jumamosi na jumapili. Sasa utajiuliza nyie wagambia mnautoa wapi huo wa kwenu, ka-nchi kenyewe maskini vile.
Hili ndilo tatizo la nchi kutawaliwa na 'Psychopath' Rais huyu anafahamika kwa vitendo vyake vinavyomfanya mtu kutilia shaka akili zake. Yeye ni mtabiri, mganga wa jadi, kiongozi wa dini na Dikteta ~ yote kwa pamoja! Ajabu zaidi ni kwamba hayuko wa kumnyooshea kidole.! Ama kweli duniani kuna mambo.