Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
kwahiyo na kwenyewe wanafanya kazi siku nne tu katika juma? Au kwao jumamosi na jumapili ni siku za kazi?
Sawa kabisa, jumapili ni siku ya kazi kama kawa. Nilona Dubai na wakristo huenda kanisan ijumaai