kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,036
- 330
Mkuu uarabuni Ijumaa ni mapumziko.
Uko sahihi .uarabuni Alhamisi ni nusu siku . Ijumaa ni mapunziko na jumamosi. Jumapili wanaanza week
Mkuu uarabuni Ijumaa ni mapumziko.
Maamuzi magumu yawe kazi siku 7, sio siku 4.
Mkubwa, hujielewi wewe au mimi? Formula yangu yeyote anaeunga mkono ubaya na kutoa kigezo hata x naye anafanya najua kabisa naye anaupenda ubaya huo! Ila hajapata fursa tu!Mkuu mbona kama hujielewi unaandika kitu gani?Nani kasema anataka kupumzika ijumaa?Mimi nimesema kuwa nchi nyingi za kiarabu na za kiislamu ijumaa kwao wanapumzika, je hiyo inamaana kuwa nimesema nataka kupumzika? Halafu japokuwa ijumaa siyo siku ya mapumziko lakini kiuhalisia wafanyakazi wa serikali wengi wetu ijumaa tunakwenda kusign tu daftari la mahudhurio then tunatambaa kwenye mishe zetu kila mtu anajivika uislamu kuwa anakwenda msikitini.
Mkubwa, hujielewi wewe au mimi? Formula yangu yeyote anaeunga mkono ubaya na kutoa kigezo hata x naye anafanya najua kabisa naye anaupenda ubaya huo! Ila hajapata fursa tu!
waadventist hawawezi kukubali.kwao kupumzika jumamosi ni lazima sio ombi.