Gambia's public sector to have 4-day working week!

Gambia's public sector to have 4-day working week!

kweli kabisa! tufanye siku nne kwa saa 12 ambayo ni jumla ya saa 48 kwa wiki badala ya ya siku tano kwa saa nane ambayo ni jumla ya saa 40 kwa wiki. hizo siku tatu tukalime, tukafanye biashara na kulewa (of course!!).
 
Nikawaida ya WaTanzania kusubiri waone wengine wamefanya kitu ndipo wao waanze Kushangaa shangaa, utasikia maneno kama;
”Wenzetu bwanaa!! WaKenya bwana !!! WaZungu bwana!!!! Sasa WaGambia bwana!!

Kuanzia tarehe 01/Feb/13 Serikali ya Gambia Imeamua siku ya Ijumaa kuwa ya mapumziko kuwapa waislam nafasi ya kujiandaa na kuabudu kama walivyopewa wakiristo siku za Jumamosi na Jumapili

Wa-Gambia watafanya kazi siku nne kwa wiki, kuanzia J’T
atu hadi Alhamisi, saa za kazi zitaanza sa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni, ambapo mfanya kazi atakuwa amefanya masaa 40 kwa wiki sawa na kufanya kazi (J’tatu-Ijumaa) siku tano zakaida

Raisi wa Gambia na wataalamu wa uchumi wamesema:Kitendo cha kufanya kazi siku nne kwa wiki, kitawafanya WaGambia kupata nafasi zaidi ya shughuli zao za kilimo ambazo ni tegemeo kubwa kwa nchi na pia kutawapa nguvu mpya ya utendaji kutokana na mapumziko marefu


Je Uongozi wa Tanzania unauwezo wa kufanya Maamuzi magumu ?

Source: BBC News - Yahya Jammeh gives Gambians an extra day off


Ukiuliza hiyo miungu wanayoitengea siku zote hizo eti kuiabudu je wanaiona?
Watakujibu wakoloni waliwaambia miungu hiyo haionekani, haisemi na wala hutakiwi kuidadisi wala kuwa na mashaka nayo.
Ukiichunguza tu utakuwa umekufuru na kuchuma dhambi...
 
Hata uarabuni ambako ndiko chimbuko la uislamu wanafanya kazi siku tano na kupumzika jumamosi na jumapili. Sasa utajiuliza nyie wagambia mnautoa wapi huo wa kwenu, ka-nchi kenyewe maskini vile.
saud arabia wanapumzika alhamis na ijumaa.
 
kwahiyo na kwenyewe wanafanya kazi siku nne tu katika juma? Au kwao jumamosi na jumapili ni siku za kazi?

mapumziko yao ni ijumaa na jumamosi, wanafanya kazi 5 days a week
 
Ni bora kufanya kazi ipasavyo masaa 40 ndani ya siku nne, kuliko kufanya kazi kwa kuzuga kwa siku tano au saba.
Sasa hivi bosi anaingia offisini anavalisha koti kiti chake anakwenda bar kunywa supu akirudi anakaa kidogo anakwenda kula lunch anarudi ofisini sasa ya kufunga ofisi anachukua koti lake anaondoka, huu ni mfano mmoja tu najua mmeona mengi zaidi ya haya.
 
mapumziko yao ni ijumaa na jumamosi, wanafanya kazi 5 days a week

saud arabia wanapumzika alhamis na ijumaa.

Hata uarabuni ambako ndiko chimbuko la uislamu wanafanya kazi siku tano na kupumzika jumamosi na jumapili. Sasa utajiuliza nyie wagambia mnautoa wapi huo wa kwenu, ka-nchi kenyewe maskini vile.

Mkuu uarabuni Ijumaa ni mapumziko.

kwahiyo na kwenyewe wanafanya kazi siku nne tu katika juma? Au kwao jumamosi na jumapili ni siku za kazi?

Ndo manake, ijumaa ni siku ya mapunziko kwao, jmosi na j2 kazini kama kawa. Wao weekend ni ijumaa na ndivyo ilivyo asa
source ya huu uzi inasema hivi,

"Thursdays and Fridays or Fridays and Saturdays are non-working days in most of the Muslim world but some say this disrupts work with Western countries, who have Saturdays and Sundays off" .
 
Ni bora kufanya kazi ipasavyo masaa 40 ndani ya siku nne, kuliko kufanya kazi kwa kuzuga kwa siku tano au saba.
Sasa hivi bosi anaingia offisini anavalisha koti kiti chake anakwenda bar kunywa supu akirudi anakaa kidogo anakwenda kula lunch anarudi ofisini sasa ya kufunga ofisi anachukua koti lake anaondoka, huu ni mfano mmoja tu najua mmeona mengi zaidi ya haya.

Mtu anaingia ofisini saa 12 asubuhi kwa sababu ya kuwahi foleni, anawasha AC ya ofisi na taa, computer hata kabla ya muda wa kazi kuanza. Jioni anaondoka saa 2 au 3 usiku ili kutime foleni, lakini ukiangalia muda aliotumia kazini productively ni masaa 3 - 4 hardly.

Bora tungekuwa tunawekewa target na results zake kwa baadhi ya idara/vitengo ambavyo havihitaji kuonana sana na wateja wa nje suala la kutekeleza na kutimiza likabaki ni juu ya mfanyakazi mwenyewe ili mradi mwisho wa siku ufanikishe malengo kwa muda uliopewa.

Sijui ni vigezo gani wanauchumi wa Gambia wamevitumia kufikia hapa, ila wakati mwingine kufanya kitu kwa jinsi tofauti na watu wengine nako sio mbaya, ilimradi pawe na tija.
 
Mnakumbuka philosophy ya Fidel castro! kuanzia 1970's mpaka mwaka jana mwezi wa 7,nchi ya cuba haikua na w'end wala siku ya kuabudu.Aliwaaminisha watu wa cuba kuwa dini yako ni kile unachokizalisha,kwa hiyo watu walipenda na wakajikita zaidi kwenye kuzalisha.
kwahiyo sisi wa Tz tufanye kazi kwa bidii tupunguze kupumzika.Napongeza baadhi ya taasisi mf SAUT wanasoma mpaka j'mosi.
 
source ya huu uzi inasema hivi,

"Thursdays and Fridays or Fridays and Saturdays are non-working days in most of the Muslim world but some say this disrupts work with Western countries, who have Saturdays and Sundays off" .
Mkuu hiyo disruption in adaptation zake

I work in a project ambayo tuna nchi kwenye mabara manne, na tuna-adjust as required, ni kama ile kufanya kazi na nchi yenye 8-12 hours different

adjustment ndio key hapo
 
Huo ni ujinga na wala siyo maamzi magumu. Wakati tunataka kumuomba mungu aongeze siku za wiki nyie mnataka kuzipunguza? Shame upon u, na haya mawazo kuyaingiza vichwani mwa watz.

Waislam ijumaaa inatutaka kusali,na baadae tukatafute ridhiki sasa tutapataje ridhiki wakati ofisi zimefungwa? Jiulizeni mara nyingi kabla ya kuja na hoja humu ndani.
 
Huo ni ujinga na wala siyo maamzi magumu. Wakati tunataka kumuomba mungu aongeze siku za wiki nyie mnataka kuzipunguza? Shame upon u, na haya mawazo kuyaingiza vichwani mwa watz.

Waislam ijumaaa inatutaka kusali,na baadae tukatafute ridhiki sasa tutapataje ridhiki wakati ofisi zimefungwa? Jiulizeni mara nyingi kabla ya kuja na hoja humu ndani.

Wavivu hao,fuatilia mikoa yenye asilimia kubwa ya waislamu, ni mikoa maskini ukilinganisha na mikoa yenye ukristo.Tazama lindi,mtwara,pwani, tabora nk,nenda kondoa utawakuta wanacheza bao saa nne asubuhi, pita kisarawe na mkuranga ujionee inatisha.
 
Hata uarabuni ambako ndiko chimbuko la uislamu wanafanya kazi siku tano na kupumzika jumamosi na jumapili. Sasa utajiuliza nyie wagambia mnautoa wapi huo wa kwenu, ka-nchi kenyewe maskini vile.

Uarabu wa wapi unaopumzika Jumamosi na Jumapili?

Pray tell
 
another vapour of the day! mnafanya tano kwa wiki, wengine jmosi ni half day, lakini bado watu maskiniiiiii. ndiyo itakuwa nne kwa wiki??ila kwa umburula wa kule magogoni, anaweza kufanya hivi. ni ajabu na kweli!
 
Nimegundua topic zingine zinapoteza muda wa watu tu, na wanaotoa ni vilaza,ngoja nisepe upuuzi mtupu.
 
Ukiuliza hiyo miungu wanayoitengea siku zote hizo eti kuiabudu je wanaiona?
Watakujibu wakoloni waliwaambia miungu hiyo haionekani, haisemi na wala hutakiwi kuidadisi wala kuwa na mashaka nayo.
Ukiichunguza tu utakuwa umekufuru na kuchuma dhambi...

Umeanza? Utapewa vipande uanze kulalama kwa mods, au unatutafutia ban?
 
kwa utawala huu wa ccm na magamba yake yote,hata watanzania tufanye kazi bila kupumzika mwaka mzima maendeleo kuja ni ndoto! kwani kama kawaida faida zitakua nyigi lakini pia uizi takua mwingi na kuna uwezekano wakaibiwa hata wafanyakazi!
 
Kwa wadanganyika ukifanya hivyo utakuwa umewapa watu time ya kunywa bia lol ni wachache sn wataitumia hyo long weekend vizuri.

Otherwise kama tunategemea mapato ya kilaji zaidi basiiii aaaaa TBL itavunja rekodi lolz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom