pengo na kilaini hawawezi kukubali.
Tena afadhali tufanye kazi wiki nzima, huu upuuzi wa kupumzika ndiyo maana hatuendelei.Mleta mada amenikumbusha kipindi cha mzee Mwinyi, sikukuu ikiangukia w/end, J'3 ni mapumziko.Eti kwa mtindo huu tuendelee!!!!!
Wana JF nina swali;
Kwani dini zote za hapa Tanzania haziwezi kukubaliana na serikali na zikaamua kuwa na siku moja tu katika wiki ya kuabudu/kusali/kuswali?
Mfano, kwanini wanaosali ijumaa na jumamosi wakaamua wote wawe wana sali siku ya jumapili? Au dini zote zichague ijumaa au hata jumanne?
Kwani "mungu/allah etc" hawezi kusikia maombi yenu siku zingine?
Wana JF nina swali;
Kwani dini zote za hapa Tanzania haziwezi kukubaliana na serikali na zikaamua kuwa na siku moja tu katika wiki ya kuabudu/kusali/kuswali?
Mfano, kwanini wanaosali ijumaa na jumamosi wakaamua wote wawe wana sali siku ya jumapili? Au dini zote zichague ijumaa au hata jumanne?
Kwani "mungu/allah etc" hawezi kusikia maombi yenu siku zingine?
Nikawaida ya WaTanzania kusubiri waone wengine wamefanya kitu ndipo wao waanze Kushangaa shangaa, utasikia maneno kama;
Wenzetu bwanaa!! WaKenya bwana !!! WaZungu bwana!!!! Sasa WaGambia bwana!!
Kuanzia tarehe 01/Feb/13 Serikali ya Gambia Imeamua siku ya Ijumaa kuwa ya mapumziko kuwapa waislam nafasi ya kujiandaa na kuabudu kama walivyopewa wakiristo siku za Jumamosi na Jumapili
Wa-Gambia watafanya kazi siku nne kwa wiki, kuanzia JT
atu hadi Alhamisi, saa za kazi zitaanza sa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni, ambapo mfanya kazi atakuwa amefanya masaa 40 kwa wiki sawa na kufanya kazi (Jtatu-Ijumaa) siku tano zakaida
Raisi wa Gambia na wataalamu wa uchumi wamesema:Kitendo cha kufanya kazi siku nne kwa wiki, kitawafanya WaGambia kupata nafasi zaidi ya shughuli zao za kilimo ambazo ni tegemeo kubwa kwa nchi na pia kutawapa nguvu mpya ya utendaji kutokana na mapumziko marefu
Je Uongozi wa Tanzania unauwezo wa kufanya Maamuzi magumu ?
Source: BBC News - Yahya Jammeh gives Gambians an extra day off
Hata uarabuni ambako ndiko chimbuko la uislamu wanafanya kazi siku tano na kupumzika jumamosi na jumapili. Sasa utajiuliza nyie wagambia mnautoa wapi huo wa kwenu, ka-nchi kenyewe maskini vile.
Wana JF nina swali;
Kwani dini zote za hapa Tanzania haziwezi kukubaliana na serikali na zikaamua kuwa na siku moja tu katika wiki ya kuabudu/kusali/kuswali?
Mfano, kwanini wanaosali ijumaa na jumamosi wakaamua wote wawe wana sali siku ya jumapili? Au dini zote zichague ijumaa au hata jumanne?
Kwani "mungu/allah etc" hawezi kusikia maombi yenu siku zingine?
ishu ni kwamba, wakristu biblia inawaruhusu kupumzika cku ya 7, waislam kuran inasema waswali halafu waendelee na kazi,(wasipumzike) sasa je kwa kuiweka ijumaa cku ya mapumziko, je watakuwa wamefata biblia au kuran?Kwa hili nakubaliana na Waislamu 100 Percent.
Bora Ijumaa ifanywe siku ya mapumziko kisheria sawa na Jumapili kwa Wakristo.
Hawa jamaa wanataka muda mwingi wakukaa na wake zao maana wengi wana matala. Wanahitaji muda pia wa kukaa kjweni kunywa kahawa na kashata na kuchza bao. Angalia mikoa waliyo jaa inavochekesha mf Lindi,Mtwara,Pwani,Tanga... Mkuu umenena' hawa jamaa sijui kwa nini wanapenda kutofanyakazi. Kazi kulalamika tu! kuwa wanaonewa- wanaendekeza umwinyi umwinyi tu.
Kwani hao wanaojiita SDA huwa jmosi hawali? Nenda ibada asubuhi ukirudi sa 4 kazni tu! Mbona tukiamua tunaweza? Sema tu wabongo umwinyi sana. Ukiwapa muda wanajaza mabaa na magest.waadventist hawawezi kukubali.kwao kupumzika jumamosi ni lazima sio ombi.