Gambia kuachana na Kiingereza

Gambia kuachana na Kiingereza

mzenjiboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
907
Reaction score
387
Rais Gambia anakataa lugha ya Kiingereza
Uamuzi wa rais wa kuhama lugha rasmi kutoka Kiingereza na lugha ya kuja baada ya miezi uamuzi wake wa kuondoa kutoka Jumuiya ya Madola
wiki ya siku nne anaweza kufanya kazi nchini Uingereza pia, anasema mwanasaikolojia
Rais Yahya Jammeh ametoa wafanyakazi Gambia sekta ya umma kila wiki siku ya ziada mbali Picha: Reuters

Yahya-Jammeh_2468947b.jpg


Rais Gambia alisema kuwa anataka kutekeleza mabadiliko ya sera ambayo kuhama lugha ya nchi kutoka Kiingereza na lugha ya wenyeji.
"Sisi tena kujiunga na imani kwamba kwa wewe kuwa na serikali unapaswa kuzungumza lugha ya Kiingereza Tunapaswa kuzungumza lugha yetu.," Rais Yahya Jammeh alisema wakati wa sherehe za kuapishwa katika ya Gambia ya Jaji Mkuu mpya kwamba kurushwa hewani juu ya hali kukimbia Gambia Television Services siku ya Ijumaa.

Tangazo inakuja baada ya miezi nchi za Afrika Magharibi ilitangaza kujiondoa kutoka Jumuiya ya Madola, ukusanyaji wa mataifa 54 linaloundwa kiasi kikubwa cha makoloni ya zamani ya Uingereza, ikisema kuwa "kamwe kuwa mwanachama wa taasisi yoyote ya ukoloni mamboleo."
United Kingdom hivi karibuni alionya raia wake ya kupanda kwa maneno ya kupambana na Uingereza kutoka kwa rais, ambaye mwaka jana watuhumiwa mkoloni wa zamani na Umoja wa Mataifa ya kuandaa majaribio ya mapinduzi ya kijeshi katika taifa hilo la Afrika Magharibi. tuhuma hizo kukataliwa.

Ingawa ni kivutio maarufu kwa ajili ya watalii wa Uingereza, Gambia pia imekosolewa na Uingereza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na wakati kunyongwa tisa ya kifo mstari wafungwa kwa kupigwa risasi katika Agosti 2012. Makundi ya haki za kama vile Amnesty International pia kukosoa serikali ya Jammeh kwa ajili ya ngozi chini ya wapinzani na kulenga wapinzani wa kisiasa na mashoga kwa kukamatwa na kuwekwa kizuizini, miongoni mwa mengine madai ya ukiukwaji.

"Je, kuletwa Uingereza Gambia katika mahali-ambayo kwanza ilikuwa kubwa zaidi kuliko ilivyo sasa-alikuwa biashara ya pembe kwa sababu Gambia alikuwa na mengi ya tembo," alisema. "Wao kufutika tembo wote na kuishia kuuza Waafrika."
Gambia ni moja ya nchi za Afrika ndogo na maskini na idadi ya watu wapatao milioni 1.8.

source; Telegraph

RAIS WA GAMBIA AFUTA KIINGEREZA KUWA LUGHA YA TAIFA, AJITOA JUMUIYA YA MADOLA, NI HARAMU USHOGA NCHINI KWAKE

RAIS wa Gambia Yahya Jammeh (ﻳﺤﻴﻰ ﺟﺎﻣ&#65226😉 amesema anataka kutekeleza mabadiliko ya sheria yatakayopelekea lugha rasmi ya nchi hiyo kubadilishwa kutoka Kiingereza hadi lugha asili.

"Hatuamini tena kuwa ukitaka kuwa Serikalini lazima uzungumze Kiingereza. Inafaa tuzungumze lugha yetu,"

Rais Yahya Jammeh alisema hayo wakati wa kuapishwa kwa Jaji Mkuu mpya nchini humo.

Tangazo hilo lilitolewa miezi michache baada ya nchi hiyo kutangaza inajiondoa kutoka Jumuiya ya Madola, inayojumuisha mataifa 54 yaliyokuwa chini ya ukoloni wa Uingereza.

Gambia ilisema "haitakuwa tena mwanachama wa taasisi ya ukoloni mamboleo". Uingereza ilionya hivi majuzi kuhusu pingamizi la rais huyo dhidi ya Uingereza, ambaye mwaka jana alishutumu Uingereza na Amerika kwa kuandaa majaribio ya mapinguzi ya Serikali nchini humo.

Rais wa Gambia mwaka jana aliiambia dunia kupitia Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba tishio kubwa linalotishia ustaarabu na utu wa mwanadamu ni kuwepo kwa kampeni na uhamasishaji wa Ushoga na usagaji.

"Wale wote wanaokuza ushoga ni kama wanataka kukomesha kuwepo kwa binadamu",aliuambia mkutano wa viongozi wa Dunia mjini New York kwa
mujibu wa Gazeti la Huffington Post.

"Hili ni janga na sisi waislamu na waafrika tutapigana kumaliza tabia hii".

Aliongeza kwa kusema,"Ulawiti katika namna yoyote ile ni uovu na ni kama kupambana na Mwenyezi Mungu. Hata kama italazimishwa kwa nguvu fulani kuwa ni haki kwa mwanadamu".

"Gambia ni nchi ya waumini. Dhambi na matendo ya zinaa yapo lakini Ushoga si wa kuvumiliwa katika nchi ya Gambia", aliongeza Rais Yahya Jammeh.
Awali aliwaambia mashoga waondoke nchini Gambia au watakatwa vichwa.

Mahusiano ya jinsia moja nchini Gambia ni haramu.

Mwaka 2009 Jammeh aliwaambia maafisa wa jeshi waliopandishwa vyeo kwamba,hatutahamasisha usagaji na ushoga katika jeshi, Ni mwiko katika majeshi yetu,"Ntamfukuza mwanajeshi yoyote atakaye tuhumiwa kuwa Shoga au Msagaji katika Gambia. Sisi hatuna haja ya Mashoga katika majeshi yetu", alisemaRais huyo.

Rais wa Gambia Yahya Jammeh

 
rais wa gambia ameamua nchi yake kuacha kutumia lugha ya kiingereza kwa madai ni lugha ya wakoloni. Na hapo 2011 gambia ilitoka kwenye commonwealth kwa kisingizio ni jumuiya ya kikoloni. Gambia ilikuwa koloni la kiingereza na ina watu milioni moja na laki nane. Source dw radio
wanajitambua,ni jambo jema ila wawe tayari kutengenezewa zengwe.
 
Tutafika tu Africa kuwa na uhuru kamili siku moja Ulaya na america watatambua Nguvu na uwezo tulio nao Africa.
 
Je Faida ya kuacha kutumia Kingereza itakuwa ni nini ?

Lugha inasaidia jambo moja tu nalo ni mawasiliano, kwahio kama hio local language itakidhi mawasiliano basi hakuna shaka..., ila nchi inayotegemea sana Tourism, busara inasema kwamba ni advantage hao watu wanaojishughulisha na hizo shughuli wafahamu lugha lukuki na sio English pekee hata kama ni kichina na kifaransa hata kijerumani (inategemea wanawasiliana sana na kina nani)

Kumbuka sio kwamba ukitumia lugha moja unasahau nyingine, kujua / kufahamu lugha nyingi ni faida na sio hasara
 
Rais wa Gambia ni yupi. Kama bado ni Yahya Jammeh sishangai. Miaka kadhaa iliyopita alitangaza kuwa amegundua dawa ya AIDS na akawa anatibu watu walioathirika kwa ugonjwa huo.

Kila nchi ina haki ya kuamua mambo yake yenyewe lakini uamuzi huo unatakiwa ufanywe baada ya kufanya utafiti wa kutosha na watu ambao wana vichwa vizuri.


 
Rais wa Gambia ni yupi. Kama bado ni Yahya Jammeh sishangai. Miaka kadhaa iliyopita alitangaza kuwa amegundua dawa ya AIDS na akawa anatibu watu walioathirika kwa ugonjwa huo.

Kila nchi ina haki ya kuamua mambo yake yenyewe lakini uamuzi huo unatakiwa ufanywe baada ya kufanya utafiti wa kutosha na watu ambao wana vichwa vizuri.



Ndio mwenyewe

Gambia's President Yahya Jammeh on Friday shocked many with a disclosure that the West African nation wants to implement a policy change that would shift the country's language from English to a local language.
"We no longer subscribe to the belief that for you to be a government you should speak English language. We should speak our language," President Yahya Jammeh said during the swearing-in ceremony of Gambia's new Chief Justice that aired on state-run Gambia Television Services on Friday.
The announcement comes months after the West African country announced it is withdrawing from the Commonwealth, a collection of 54 nations made up largely of former British colonies, saying it would "never be a member of any neo-colonial institution."
The United Kingdom recently warned its citizens of rising anti-British rhetoric from the president, who last year accused the former colonial power and the United States of organizing coup attempts in the West African nation.

Habari kwa urefu
Gambia To Drop English As Official Language For A Local Language - ModernGhana.com
 
Ndiyo maana tungekuwa na uwezo tungehakikisha mgogoro wa Urusi na EU+US hauishi haraka ili sisi tuendeleze jitihada za Kujitegea, maana viongozi wetu wataona aibu kwenda kuomba misaada kwa 'wahisan' walioko kwenye matatizo.
 
Rais wa Gambia ameamua nchi yake kuacha kutumia lugha ya Kiingereza kwa madai ni lugha ya wakoloni. Na hapo 2011 Gambia ilitoka kwenye Commonwealth kwa kisingizio ni jumuiya ya kikoloni. Gambia ilikuwa koloni la Kiingereza na ina watu milioni moja na laki nane. Source DW RADIO

Gambia ni mojawapo wa nchi zenye vingozi wanaotumia makalio yao kufikiri. Yahaya Jame ana matatizo kichwani....lengo lake ni kuterrorise ile nchi aendelee kutawala. Bila shaka hata program za computer ameshaandaa za lugha ya kwao....
 
RAIS WA GAMBIA AFUTA KIINGEREZA KUWA LUGHA YA TAIFA, AJITOA JUMUIYA YA MADOLA, NI HARAMU USHOGA NCHINI KWAKE

RAIS wa Gambia Yahya Jammeh (ﻳﺤﻴﻰ ﺟﺎﻣ&#65226😉 amesema anataka kutekeleza mabadiliko ya sheria yatakayopelekea lugha rasmi ya nchi hiyo kubadilishwa kutoka Kiingereza hadi lugha asili.

"Hatuamini tena kuwa ukitaka kuwa Serikalini lazima uzungumze Kiingereza. Inafaa tuzungumze lugha yetu,"

Rais Yahya Jammeh alisema hayo wakati wa kuapishwa kwa Jaji Mkuu mpya nchini humo.

Tangazo hilo lilitolewa miezi michache baada ya nchi hiyo kutangaza inajiondoa kutoka Jumuiya ya Madola, inayojumuisha mataifa 54 yaliyokuwa chini ya ukoloni wa Uingereza.

Gambia ilisema "haitakuwa tena mwanachama wa taasisi ya ukoloni mamboleo". Uingereza ilionya hivi majuzi kuhusu pingamizi la rais huyo dhidi ya Uingereza, ambaye mwaka jana alishutumu Uingereza na Amerika kwa kuandaa majaribio ya mapinguzi ya Serikali nchini humo.

Rais wa Gambia mwaka jana aliiambia dunia kupitia Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba tishio kubwa linalotishia ustaarabu na utu wa mwanadamu ni kuwepo kwa kampeni na uhamasishaji wa Ushoga na usagaji.

"Wale wote wanaokuza ushoga ni kama wanataka kukomesha kuwepo kwa binadamu",aliuambia mkutano wa viongozi wa Dunia mjini New York kwa
mujibu wa Gazeti la Huffington Post.

"Hili ni janga na sisi waislamu na waafrika tutapigana kumaliza tabia hii".

Aliongeza kwa kusema,"Ulawiti katika namna yoyote ile ni uovu na ni kama kupambana na Mwenyezi Mungu. Hata kama italazimishwa kwa nguvu fulani kuwa ni haki kwa mwanadamu".

"Gambia ni nchi ya waumini. Dhambi na matendo ya zinaa yapo lakini Ushoga si wa kuvumiliwa katika nchi ya Gambia", aliongeza Rais Yahya Jammeh.
Awali aliwaambia mashoga waondoke nchini Gambia au watakatwa vichwa.

Mahusiano ya jinsia moja nchini Gambia ni haramu.

Mwaka 2009 Jammeh aliwaambia maafisa wa jeshi waliopandishwa vyeo kwamba,hatutahamasisha usagaji na ushoga katika jeshi, Ni mwiko katika majeshi yetu,"Ntamfukuza mwanajeshi yoyote atakaye tuhumiwa kuwa Shoga au Msagaji katika Gambia. Sisi hatuna haja ya Mashoga katika majeshi yetu", alisemaRais huyo.

Rais wa Gambia Yahya Jammeh
 
Safi sana Mh. Rais, hata kama mashoga watakuponda.
 
Miongoni mwa Simba wachache waliobaki africa. Mugabe@museveni...pongezi sana kwenu!..
 
Last edited by a moderator:
Namuunga mkono na huo ndio ujasiri unaotakiwa.baba mkubwa naye njoo huku umuone mwanaume wa shoka
 
Back
Top Bottom