Gambia kuachana na Kiingereza

Gambia kuachana na Kiingereza

Kikwete bado anaunda tume ya kumjibia hilii,kama anaogopa anipe mim nimjibiee hadharani hatutaki ushoga wala usaganajiii
Mashoga watengewe nchi yao
 
His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh Naasiru Deen is a silly buffoon.
Mhh jamani Mungu atusamehe kwakweli kama hofu ya Mungu tunakosa tunabaki kushadadia hata mambo yasiyostahili kushabikia! Kila taifa libakie kusimamia misingi ya utu wao tusiletewe mambo yasiyoendana na tamaduni ya jamii zetu!
 
His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh Naasiru Deen is a silly buffoon.


Dooh, Mkuu hayo yote ni majina yake au ni misamiati mipya ya kiingereza. ?


back to topic
Huyu naye ajiandae kupokea vikwazo vya jumuiya za kimataifa muda si mrefu, Hongera zake kwa kutamka kile anachoona ni sahihi kwake.
 
Kikwete hawezi kukataa ushoga wakati ni omba omba na kila kukicha kiguu na njia uk and usa, nani ajuaye ya hizo safari za kila siku? Tafakari
 
Huyu si yule Rais anaetibu ugonjwa ukimwi? naona anatoka kivingine sasa babu wa Loliondo
 
His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh Naasiru Deen is a silly buffoon.

----- sana yule,alishawahi kutangaza kua kagundua dawa ya UKIMWI, na akapiga marufuku madaktari hospitalini na kupeleka waganga wa kienyeji wakatibu watu,siwezi kumshangaa yule.
 
Kikwete bado anaunda tume ya kumjibia hilii,kama anaogopa anipe mim nimjibiee hadharani hatutaki ushoga wala usaganajiii
Mashoga watengewe nchi yao

yaan siyo tu nchi yao, sion sayari yoyote iliyoumbwa na Mwenyez Mungu itakayowafaa
 
----- sana yule,alishawahi kutangaza kua kagundua dawa ya UKIMWI, na akapiga marufuku madaktari hospitalini na kupeleka waganga wa kienyeji wakatibu watu,siwezi kumshangaa yule.

Amesema yeye ni rais wa Gambia for life. Huyu ni mwendaa mwingine
 
maskini jeuri. sie tumeunda tume kuchunguza hili suala
 
His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya Abdul-Azziz Jemus Junkung Jammeh Naasiru Deen is a silly buffoon.

hivi kwanini nyie wenzetu mnaoishi huko ulaya na amerika mmekuwa wajuaji na vinara wakubwa wa kuutetea ushoga africa?,ndio ustaarabu mnaouishi huko mliko?,kuna mwenzenu mmoja kule kenya forum anaandika kingereza kizuri sana,ila hivi karibuni post zake hizo za kingereza zimeingia doa.anatetea ushoga utamalaki kenya.naona hapo juu umemtukana rais wa gambia eti a "silly buffoon".mwe!.
sasa naanza kubaini kwa nini hoja ya dual citizeship ni hoja tata.
 
hivi kwanini nyie wenzetu mnaoishi huko ulaya na amerika mmekuwa wajuaji na vinara wakubwa wa kuutetea ushoga africa?,ndio ustaarabu mnaouishi huko mliko?,kuna mwenzenu mmoja kule kenya forum anaandika kingereza kizuri sana,ila hivi karibuni post zake hizo za kingereza zimeingia doa.anatetea ushoga utamalaki kenya.naona hapo juu umemtukana rais wa gambia eti a "silly buffoon".mwe!.
sasa naanza kubaini kwa nini hoja ya dual citizeship ni hoja tata.

waendelee kubaki huko huko wasije wakaja kutuletea uchafu wao kwetu. wafanyane huko huko
 
hivi kwanini nyie wenzetu mnaoishi huko ulaya na amerika mmekuwa wajuaji na vinara wakubwa wa kuutetea ushoga africa?,ndio ustaarabu mnaouishi huko mliko?,kuna mwenzenu mmoja kule kenya forum anaandika kingereza kizuri sana,ila hivi karibuni post zake hizo za kingereza zimeingia doa.anatetea ushoga utamalaki kenya.naona hapo juu umemtukana rais wa gambia eti a "silly buffoon".mwe!.
sasa naanza kubaini kwa nini hoja ya dual citizeship ni hoja tata.

Evidently you have ushoga on the brain.

Otherwise, ni nini katika nilichokiandika hapo kinatetea ushoga Africa?

Nenda taratibu la sivyo utajikuta una reveal hata siri zako bure bila hata kujua!
 
Napendekeza. Lugha yetu ya taifa iwe kiha sawa waungwana? Dumisha mila
 
waendelee kubaki huko huko wasije wakaja kutuletea uchafu wao kwetu. wafanyane huko huko

Unaishi wapi wewe? Uchafu tayari upo, mashoga kibao kitaa. Na hadi sasa sioni tukifanya chochote kuhusu tabia zao japo sheria za kuwakaba zipo. Kwahiyo hizi kelele za wanasiasa ni uzushi tu.
 
Unaishi wapi wewe? Uchafu tayari upo, mashoga kibao kitaa. Na hadi sasa sioni tukifanya chochote kuhusu tabia zao japo sheria za kuwakaba zipo. Kwahiyo hizi kelele za wanasiasa ni uzushi tu.

kuna sheria ya kuzuia ushoga???
 
Back
Top Bottom