kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Nimejistukia nini? Wewe ni mjinga kabisa tena mwenye tatizo la uelewa. Kwa kifupi ni huna hata akili ya kugundua kuwa umechemsha, huna akili ya kujua kusoma na kuelewa ndo maana unaandika ujinga ambao hata haueleweki.
Mtu anayewaza ushoga muda wote na anayeona ushoga hata pale ambapo haupo huenda yeye ndo shoga. Na huyo ni wewe.
Nimekuuliza, wapi katika hiyo nukuu uliyoinukuu panazungumzia ushoga, umeshindwa kunionyesha. Au hukulielewa swali? Kama hukulielewa sema ili nili dumb down zaidi kufikia kiwango chako.
Zaidi ya hapo nishakuweka kwenye kundi la watu wenye disability - ya akili that is.
unalalamika nini?.kwa kuelezwa ukweli unaunga mkono ushoga?.nichukuliaje ujuavyo,sijali.