Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Mkurugenzi wa kampuni ya vinywaji Coca Cola na mjumbe wa Nec mwita Gachuma amezungumza na waandishi wa habari na kukanusha madai kuwa alikaa kikao na J. Kikwete, Ridhiwan, Rostam Aziz na Lowasa. Amesema kuwa yeye hawezi kukaa katika hoteli ya La-Kairo ambayo haina hadhi kuliko hoteli yake ya Mwanza Hoteli na kwamba siku ya kikao alikuwa Tarime.