Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,856
- 103,843
Kwahy na mwenyekiti wenu akakubali, huoni hapo tatizo lipo kwa kiongozi na sio hao wngnIle akili ya kumpokea Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais ilitoka kwenye hili kundi la g55. Haiwezekani mtu ajiunge siku hiyohiyo chamani na umpe cheo!