G55 walamba vyeo Chaumma

G55 walamba vyeo Chaumma

Ile akili ya kumpokea Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais ilitoka kwenye hili kundi la g55. Haiwezekani mtu ajiunge siku hiyohiyo chamani na umpe cheo!
Kwahy na mwenyekiti wenu akakubali, huoni hapo tatizo lipo kwa kiongozi na sio hao wngn
 
Ni suala la muda tu hashimu rungwe ajiandae kisaikolojia kuwekwa kando kwenye uenyekiti huko mbeleni
 
😂😂😂😂kituko mwanachama wa siku moja.... Anapewa na cheo..... Hivi ni vituko vya mwaka
Kwani si wamefata ubwabwa ulitaka wapewe viporo? 😹😹😹
 
Kwahiyo wameona aibu kwenda moja kwa moja kujiunga na nyumbu wa kijani....njaa zinakufanya udhalilike
 
Mzee wa Kishimundu hajaambulia hata cheo cha kusimamia ubwabwa.
Halafu alivyojua anaita press ungefikiri ana akili ya kuanzisha chama.
 
Mimi binafsi iwapo hakutakuwapo mgombea wa CHADEMA, nitapiga kura kwa mgombea wa CHAUMMA.
Naiunga mkono CHADEMA mara zote, ila pia sikupenda kumuachia nyani shamba la mahindi hata kama ananipa hasara
wewe ni CCM acha kujifanya mjuaji. Yani huyo nyani anaekupa hasara hata ukimkamata sheria inakukataza hata kumhoji sasa unalima ili iwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom