G55 walamba vyeo Chaumma

G55 walamba vyeo Chaumma

Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.

Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.

Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
hao jamaa ni wanansiasa bold sana aise dah! Sema sasa watapambana na chadema ya uropokaji debe tupu tu ambayo pia haishiriki uchaguzi mkuu:pedroP:
 
Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.

Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.

Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Hongera zao kwa vyeo ni haki yao kidemokrasia hakuna chama cha siasa ambacho ni mama yao au baba yao kama Nyerere alivyosema

Ruksa mtu kuhama chama chochote kwenda kokote
 
😂😂😂😂kituko mwanachama wa siku moja.... Anapewa na cheo..... Hivi ni vituko vya mwaka
Mbona kuna mtu chadema alipewa tiketi ya kugombea uraisi kabisa mara baada ya kujiunga huko. Siasa ni fursa haihitaji usirias kihivyo
 
Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.

Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.

Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.

Watanzania wangapi wanaenda ambao wanataka mabadiliko wataenda kwenye Chama cha ubwabwa!!!! tuache utani. Hawa wameshapiga pesa za CCM sasa wanamalizia mkataba
 
Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.

Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.

Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Maana yake kabla ya hapo, chama hakikuwa na Makamu Mwenyekiti, Katibu wala manaibu makatibu Tanganyika na Zanzibar....

Na ikawaje, Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mtungi hakuwa anaona mapungufu ktk chama hiki..?

Na bila shaka hawajawahi kufanya hata vikao vya kikatiba tangu kuanzishwa kwake...!

Yet, bado Jaji Mtungi Msajili wa vyama vya siasa Tanzania amekiacha tu chama hiki...!!
 
🎶Tunaimaniiii na ubwabwaaaa
Tunaimaniii na ubwabwaaaa 🎶
Screenshot_20250519-180252.png
 
Mbona lowassa alipewa na tiketi yakugombea urais.Haujui
Kugombea sio swa na kuwa kiongozi, unaweza ukapewa kugombea ukawa mshindi ila ukileta nyepesi ukavuliwa uanachama ukawa mwepesi.... Au haujui uzito wa mtu kuwa kiongozi wa chma aisee....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom