LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
Lissu kaikomboa chadema kwa kweli..
Kwa kweli kwa sasa sina kabisa imani na hivi vyama vyetu vya upinzani hapa Tanzania haswa baada ya kugundua kuwa Zitto na Mbowe walikuwa vibaraka wa CCM. Mtu pekee ambaye angeweza kuleta mapinduzi hapa Tanzania ni Lissu na CCM inajuwa hivyo na ndiyo maana wanamfanyia figisu makusudi tu kumtikisa na kumpakazia habari za uongo ili wananchi wamuone kuwa ni gaidi. CCM imeshindwa kuliongoza hili taifa na ndiyo maana wanatumia ushenzi kutaka kubakia madarakani kwa nguvu.Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.
Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.
Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Makubaliano? Ya nani na nani? Vyeo vinatolewa kwa makubaliano? Duh Haya msajili wa vyama kazi kwakoKufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.
Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.
Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Unaona ni kituko sasa hivi? Kwani lowassa alipokodishiwa chama kugombelea urais alikuwa mwanachama wa miaka mingapi?😂😂😂😂kituko mwanachama wa siku moja.... Anapewa na cheo..... Hivi ni vituko vya mwaka
Kumbe madai kuwa G55 ni "mradi" fulani wanaweza kuwa sahihi!Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.
Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.
Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Hao waliojiuzulu wamelipwa stahiki zao kama walivyokubaliana?Kufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.
Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.
Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
Tetesi zinasema anasubiria kupata kacheo ka upigaji pesa za U-tubeJohn mrema amelambishwa cheo gani?
Acha kupotosha.Same thing waliyofanya Chadema walipompokea na kumpa agombee uraisi.
Natamani waitishe mkutano kama anavyofanya HecheKufuatia makubaliano yanayoendelea kati ya Chaumma na makada waliotoka Chadema, Hashim Rungwe anaendelea kuwa mwenyekiti wa chama hicho na makamu wake (Bara) anakuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Devotha Minja.
Nafasi ya Katibu Mkuu amepewa Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu Bara amepewa Benson Kigaila na kwa upande wa Zanzibar Naibu Katibu Mkuu amepewa
Mohamed Masoud.
Mgawanyo huo wa umekuja baada ya waliokuwa viongozi wa Chaumma kujiuzulu nafasi zao akiwamo aliyekuwq Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na Makamu Mwenyekiti Bara, Kayungo Mohammed.
SureAcha kupotosha.
Lowassa kwanza alipokelewa kama mwanachama wa kawaida.
Kisha baadaye akachukua fomu ya kuomba kugombea urais kwa kuwa mchakato wa kufanya hivyo ulikuwa tayari umetangazwa.
Jina lake likajadiliwa na kamati kuu na baadaye mkutano mkuu ukaitishwa na jina lake likapigiwa kura na kuidhinishwa kuwa mgombea urais.
Lowassa hakupokelewa na kuwa kiongozi wala kupewa fomu za kugombea urais.
Hapa nilianza kuichukia Chadema kwa sasa naona Kuna Imani fulaniMbona lowassa alipewa na tiketi yakugombea urais.Haujui