G.P.A ya mbunge David Silinde

Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
David Silinde status yake ni Mh Mbunge, huyo anaebisha yeye ni nani?! Kikubwa sana kwenye maisha ni maono, hekima na busara na ujasiri wa kuifuatilia ndoto yako na wala sio sifa za makaratasi; na mengine ya kutengeneza, au zawadi tu yasiyo na uhusiano na weledi wa utumishi wa mtu husika kama Dr, professa majimafupi etc etc. Kuwa na amani, usijibizane na wajinga, wenye akili hawatakuelewa!
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
angekua na GPA kali asingekimbilia siasa mapema.
 
Duu mbwembwe nyingi kumbe ana pass...yaani bila shaka amehurumiwa tuu..halafu ni wazi alikuwa anapiga chabo huyu.
 
Sijaelewa vizuri jamani mnisaidie. Mh Silinde tuseme alichosoma pale kama Kambi rasmi ya upinzani ni pumba au nondo? Kile Mh alichotoa pale, hivi kweli ccm mtathubutu kukidharau??
Ushauri wangu; Badala ya kuuliza GPA na0na tujaribu tu kutafuta namna ya kurekebisha bajet hii ili iwasaidie wananchi sio kuwanyonya hata mate baada ya damu kuisha
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Wacha mchezo na Bcom ya UDSM. Yani GPA ya Bcom UDSM ya 2.0 ina maana kubwa sana kuliko GPA ya 4.0 ya UDOM, MZUMBE, OPEN, IFM na vyuo vyote unavyovijua hapa nchin vinavyotoa kozi za biashara. Ndio maana digrii ya UDSM inaitwa Honorous. Vyuo vingine vinatoa ordinary degree.... Kwa hiyo mtu yeyoe ambaye amehitimu shahada ya Biashara UDSM ni 'kichwa by default'...
 
Wacha mchezo na Bcom ya UDSM. Yani GPA ya Bcom udsm ya 2.0 ina maana kubwa sana kuliko GPA ya 4.0 ya UDOM, MZUMBE, OPEN, IFM na vyuo vyote unavyovijua hapa nchin vinavyotoa kozi za biashara. Ndio maana digrii ya UDSM inaitwa Honorous. Vyuo vingine vinatoa ordinary degree.... Kwa hiyo mtu yeyoe ambaye amehitimu shahada ya Biashara UDSM ni 'kichwa by default'...
Team Gentleman utawajua tu...Tehe Tehe
 
Silinde kwa kumsikiliza tu anavyo ongeaga, na kupangilia hoja, lazima atakuwa na akili sana, vilaza wapo wakiongea tu unafahamu, wala hata huhitaji kujua CV, wala vyeti. Hata kama mbunge ni la saba bado anaweza kuwa ana akili sana, na utajua kupitia anavyowasilisha mambo yake, na mantiki ya hoja zake.
Tujifunze kutofautisha elimu za darasani na akili za watu.
 
Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...

Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
JK alipata 2.1 na amewaongoza miaka 10
 
Back
Top Bottom