David Silinde status yake ni Mh Mbunge, huyo anaebisha yeye ni nani?! Kikubwa sana kwenye maisha ni maono, hekima na busara na ujasiri wa kuifuatilia ndoto yako na wala sio sifa za makaratasi; na mengine ya kutengeneza, au zawadi tu yasiyo na uhusiano na weledi wa utumishi wa mtu husika kama Dr, professa majimafupi etc etc. Kuwa na amani, usijibizane na wajinga, wenye akili hawatakuelewa!Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
angekua na GPA kali asingekimbilia siasa mapema.Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Hahahaha kisu kimegusa mfupaG.P.A ya David Silinde itakusaidia nini angalia mambo yako wewe
ningeshangaa sana huu uzi uishe bila mtu kuisema UDOM ila hujui tu UDOM wako juu sana kwa sasa kwa wale waajiri tunaelewa wakojeUDOM ingelikuwa first class (Hons)
Acha uongo wewegentlemen kwa udsm kajitahid Angekuwa vyuo vingine ni kipanga huyo okay
Hakuna msingiJe, ukiijua hiyo G.P.A itakuwa na manufaa yepi kwako binafsi?
Wacha mchezo na Bcom ya UDSM. Yani GPA ya Bcom UDSM ya 2.0 ina maana kubwa sana kuliko GPA ya 4.0 ya UDOM, MZUMBE, OPEN, IFM na vyuo vyote unavyovijua hapa nchin vinavyotoa kozi za biashara. Ndio maana digrii ya UDSM inaitwa Honorous. Vyuo vingine vinatoa ordinary degree.... Kwa hiyo mtu yeyoe ambaye amehitimu shahada ya Biashara UDSM ni 'kichwa by default'...Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...
Unaamini katika vyeti etie. Utasubiri miaka 800. Mwambie Sendeka alete yake kwanza
Team Gentleman utawajua tu...Tehe TeheWacha mchezo na Bcom ya UDSM. Yani GPA ya Bcom udsm ya 2.0 ina maana kubwa sana kuliko GPA ya 4.0 ya UDOM, MZUMBE, OPEN, IFM na vyuo vyote unavyovijua hapa nchin vinavyotoa kozi za biashara. Ndio maana digrii ya UDSM inaitwa Honorous. Vyuo vingine vinatoa ordinary degree.... Kwa hiyo mtu yeyoe ambaye amehitimu shahada ya Biashara UDSM ni 'kichwa by default'...
GPA= Giza Pambazuko (lake) Asubuhi....GPA? Kwani GPA ina application gani katika maisha?
JK alipata 2.1 na amewaongoza miaka 10Wakuu muda si mrefu nilikua nabishana na jamaa wangu flani kuhusu bajeti ya upinzani iliyosomwa leo na Ndugu David Silinde...
sasa huyu jamaa ali crush hiyo hutoba kwa madai aliyeisoma ni ******....huyu jamaa anadai alimaliza pamoja na David Silinde pale UDSM B.Com Human Resource Management na anadai mheshimiwa huyo alipata Gentleman...kusema ukweli nilishindwa kuendelea mabishano naye maana alikua anaamini alichokua anakizungumza...
Wadau wenye kumjua Mheshimiwa David Silinde tunaomba wafunguke na matokeo yake pale Mlimani..ni kweli alipata Gentleman ama ni porojo tu...