FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.

kuna wakati mwingine akili inahitaji kuchangamshwa ikiwa ni pamoja kupata vichekesho sio mda wote umekomaa na kusoma vitabu, huwezi kusoma vitabu mda wote au kuingia internet mda wote acha unafiki na dharau
 
nawapenda xana japo now wameanza magumash wangeongeza ubunifu kddg halaf wangeondoa ile tengua kaul haina tija kwakweli
 
Ni kweli mimi ananifurahisha sana brother k na bibi ila nilisikitika sana walipotengana na wale wengine tunawaomba muungane
We Wapoti waliotengana kinanani tena? Naomba kujua sijaangalia siku nyingi
 
Last edited by a moderator:
Naipenda kwa ajili ya Buraza k,yupo sawa hyu jamaa labda km kunamarekebsho kidogo tuu .
 
jana hawajanifurahisha cjapenda kabisg nilichungulia kdg nkaacha hata sauti haikuwa nzuri
 
Leo nilikuwa na bimkubwa sebuleni mi niko bize na kompyuta ye ameconcentrate kwenye tv kuwaangalia Futuhi then akawa anacheka sana tu, nikamuuliza unacheka nini, akajibu Braza K anamchekesha, nikaanza kumcheka bi mkubwa maana hao watu wanaomchekesha bi mkubwa binafsi hawanichekeshi kabisa. Yaani bi mkubwa ndo kanichekesha kuliko hao 'wachekeshaji' aliponambia hao jamaa wanamchekesha
 
Kama unataka comedy isiyo na mambo ya kitoto angalia bunge la Tanzania tu.
 
Kuna yule mangi aliyekuwa anaidesign naona siku hizi ana vipindi vya watoto vinavodhaminiwa na c.r.d.b. .......'' hisabati ni maumbo ya urefu na upana''.............................hebu esabu madoa yangu kenye ngozi ......umepata mangapi....? unapokula ugali unahesabu matonge......,

freddy saganda wa ndooorrrooboo
 
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.

Si kweli, mm sina time na hao jamaa lkn haizuii kupenda nitakacho (kwa vigezo vyako). Unajua mpk marais wanacheza game za computer? Unazijua laptop za Allanware wewe? Hugusi ni $4000+ special for gaming, huenda hujawahi ona ama kutumia.

Kimsingi kumsema mtu ni nonchalant wa comedy (mtu asie smart ama wa low class) ni kutojijua hata wewe!
 
Leo nilikuwa na bimkubwa sebuleni mi niko bize na kompyuta ye ameconcentrate kwenye tv kuwaangalia Futuhi then akawa anacheka sana tu, nikamuuliza unacheka nini, akajibu Braza K anamchekesha, nikaanza kumcheka bi mkubwa maana hao watu wanaomchekesha bi mkubwa binafsi hawanichekeshi kabisa. Yaani bi mkubwa ndo kanichekesha kuliko hao 'wachekeshaji' aliponambia hao jamaa wanamchekesha

Hivi bi mkubwa huwa ni nani? Huwa naskia tu bi mkubwa but no idea who is bi mdg
 
zamani comedi ya kina masanja ilikuwa hainipiti ila siku hizi sijui hata kama bado huwa ipo au laa. naona walipata kiburi wakajisahau kuboresha kazi. futuhi ndo habari pekee ilibakia.
 
zamani comedi ya kina masanja ilikuwa hainipiti ila siku hizi sijui hata kama bado huwa ipo au laa. naona walipata kiburi wakajisahau kuboresha kazi. futuhi ndo habari pekee ilibakia.

Aisee! Basi sawa
 
mmmh ImageUploadedByJamiiForums1436260786.182856.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom