Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante sanaa kwa sababu una fungua akili tulio kua tume lala
 
kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana
 
nina mwaka sasa mkuu tang nianze safar za uko ..pia nitakuwa wa kwanza kushare fursa na wenzang mana watz wanaofanya biashara comor o hawatoi ushirikiano ...mm kinachoniuma ni kuona mcomoro anakuja kununua apple tz wakat kuna kijana wa tz anaweza kupeleka comoro wakazinunulia uko nas tukafaidika mara 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana huo ndio uzalendo. Nikija pata unyerere nitakuja kupa uwaziri wa biashara.
 
Aisee hiyo ni changamoto haswa, mnajitahidi lakini tatizo ndio hilo la meli
Serikali inaweza kushawishi wawekezaji lakini kuna sehemu tunakosea kuhusu maendeleo
Sehemu zenye faida sio kwamba hawazioni hapana ni akili nzito tu
Hivi meli mpaka Comoros ni kiasi gani

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwa sasa kuna meli inakuja huko inaitwa AZAM COMORO.
Gharama ya kusafirisha mzigo inachajiwa kwa Cubic Metres(CBM) au eneo la mraba.
 
logistic za tz ni ngumu kuliko Brazil Kwan Sisi hapa hatuna meli zenye uwezo wa kubebba frozen meet lakn wenzetu wanazo pia hatuna usafir wa Uakika wenzetu wanao.kumbuka nyama inaweza kaaa hata 6 month ukiwa kwa freezer

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Kweli hakuna meli ya kubeba frozen meat au vegetables.
Ila wafanyabiashara wanaweza wakakodi Reefer Container na wakaweka frozen goods na wakaongea na mmiliki ili hiyo container ipatiwe nguvu ya umeme ili mzigo usiharibike mpaka meli ifike Comorro.
 
Mwenye uzi kaweka bayana kuwa fursa ni nyingi na soko ni la uhakika ukitoa changamoto ndogo ndogo kama kodi,viza n.k ambazo haziwezi kumkwamisha mfanyabiashara mwenye malengo..,So Changamoto kubwa aliyoianisha hapa ni USAFIRI.., wapo Wafanyabiashara wa Tanzania wenye nia ya dhati(seriously) tuunganishe nguvu yetu kwa pamoja tuweze kodi meli na kupeleka bidhaa..,binafsi natoka Njombe nadili na uuzaji wa mbao.Nna tafuta sana soko la mbao,ambao niliona uzi mmoja humu unasema soko kule ni kubwa..,

Hivyo kama tupo tayari tujadili ni kwa namna gani tuungane na kukodi meli ya kutufikisha sokoni
Hapa kwenye kukodi meli naweza nikawapa ushauri kama mnataka mkodi meli itabidi mkodi kwa trip (Voyage Charter) hii itakuwa nafuu kwenu.

Kama mmejikusanya tayari na mnajua kila mtu ana mzigo kiasi gani mnaweza mkatafuta meli au mkamshawishi mmiliki mfanye booking ya space ya mzigo na mkakodi kwa space ambayo kila mtu atapakia mzigo wake. Hii ni mpaka pale Meli iwe na safari ya kwenda huko Comorro.
 
mkuu kwenye mtaji hapo sjajua couse inategemea na bei ya vitunguu unaponunua si unajua huwa havina bei maalumu ! ninachofahamu ukipeleka comoro kule wanauza kwa kg kawauz kwa magunia kama uku tz vikiwa ving sokon bei inakuwa kmf 400 sawa na tsh 2000 per kg bei ya Jumla ambapo uku tz ndio manavuna vitunguu mnaunua Guinea elf 50 AMA 70 Kule unapata lak 2 kwa Gunia vikiadimika sokon bei inakuwa zaid ya hapo na mara nying vinaadimika .kuna kipindi gunia moja la kitunguu linafika lak 4

Sent using Jamii Forums mobile app
this is great
 
Asante kwa hili, ila najua mawazo yako iko wapi ni vile hutaki kuyataja, lakini nikkujulize kidogo tu, mimi hata siwezi itisha yeye hata centi moja, kaa ni vibali anataka nitampa tu adress ya hizo ofisi, hatua za kuchukua mpaka azipate hizi vibali, hata sitaki kuonana nae uso kwa uso, ile tu nitamwambie enda ofisi fulani, hakikisa una hiki na kile na mambo kaa haya, sitaki kaa nilivyosema hata kukutana nae, to najua your suggestion has helped a lot of people who fall into the trap of being conned of their hard earned cash, be blessed mkuu
na vile ju umeandka bomba hata maneno haiko mob,be blessed
 
Watanzania wana matatizo makubwa sana.nahisi wana vailas ndani ya damu.
Matatizo ni kama ifuatayo.
1)wanafki,wafitini.yupo tayari kukualibia sehemu ya kazi.yupo tayari akudanganye ile upoteze malengo yako,na mdu Mali.
2)mtanzani ukimshika mkono popote pale rakini jua IPO siku atakufanyia kitu ambacho ujafikiria.
3)mtanzani mkalimu sana rkn ni MTU hatari (sinlent killa)
4)mtanzania muoga kusafiri,hawezi kujitoa kutafuta maisha nnje ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom