antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,577
- 119,969
Mbona hizo nyama zinatoka Brazil kwa wingi?mzee baba usijiloge kupeleka nyama Comoro,peleka wanyama hai,wale ni waislamu wanata kuchinja wenyewe.
Mbona hizo nyama zinatoka Brazil kwa wingi?mzee baba usijiloge kupeleka nyama Comoro,peleka wanyama hai,wale ni waislamu wanata kuchinja wenyewe.
iyo sukar unataka uitoe wap upeleke kule!?Unajua mkuu kufahamu culture ya sehemu husika inakuwa rahisi kujua ni namna gani utafanya nao biashara ..
Enewei kama nikitaka kupeleka mf sukari labda mifuko kadhaa nikifikisha utaratibu wa kupata wateja unakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa Kasumbalesa tuwasiliane mkuu +260978696347
Mbona hizo nyama zinatoka Brazil kwa wingi?
dooh! kwel msafala wa mbamba kenge hawakosiHuu uzi wanaoandika vibaya vibaya ndo hao wa-comorro au
Taarifa lazima mtu ujue sio kukurupuka tu ndio maana wafanyabiasharawengine wageni wanaishia mikononi mwa sheria lzm upate details A to Z then ndio usonge mbeleFursa zipo nyingi sana ila sisi watanzania ni namba moja kwa kulalamika na kutoa lawama
kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhh ... unanitia genye aisebas iliki Mbichi ni deal sana 1 kg inauza kwa 15000kmf ..ambayo ni sawa na Euro 30
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hii ndiyo njia sahihi na muafaka ya kutaka kujua jambo lolote la biashara mahali popote! Hata kama unataka kufanya biashara ya aina yoyote tuseme huko Mbeya ni vizuri kwenda mwenyewe na ufanye utafiti wako na ujue wanahitaji nini, kwa kiasi gani,kwa ubora gani na bei zako zikoje! Tufike mahali sisi wafanya biashara au wajasiriamali tuache utegemezi na woga katika masuala haya.Kama una hela nenda kule kwa wiki moja au mbili ufanye uchunguzi wako, bidhaa zinazohitajika, wateja wako, bei, gharama za kusafirisha.
Ukirudi elimisha watu unaowaamini umoja ni nguvu.
Mkuu huyo mtu anafahamu kuongea kiswahili?Nimefuatilia hili la Biashara commoro. Nimeambiwa ukitaka kufanikiwa zaidi fika ubalozi wa tz kule commoro utapelekwa kwenye masoko Na utaambiwa bidhaa gani waweza peleka. Ukifikia ubalozini utakua salama zaidi. Kwa anayehitaji namba za mtu aliyeko commoro nichek pm nikupatie uwasiliane kwa whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app