- Thread starter
- #21
unachotakiwa ni ww kutenga muda wa kwenda kutazama fursa ..utatumia usafir wa ndege ukiwa na Visa yakoHuyu itakuwa amefka huko. Sema kama vipi atoe details za kutosha jinsi ya kufika huko na kufurahia maisha ya kibiashara ya huko
Sent using Jamii Forums mobile app