Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

yes na hapo ndipo panapotakiwa kama wafanyabiashara na watanzania kuangalia namna ya kutatua changamoto za usafri na kutufanya kuwa big supplier ..couse mtu mmoja huwez kukod meli .ukiwa na meli yako unauwezo wa kusuppy chakula comoro mara 2 kwa mwez lakn sasa ivi inaweza fika hata miez 2 hamna meli .mm mzigo Wang upo bandalin tang tar 5 mwez 2 mpaka Leo hamana meli ..ndo ilo sasa inapakia ni changamoto ..lakn ikatokea wafanyabjashar tunaamua kwa umoja wetu tunakodi meli ndan ya mwaka 1 tutawazid China. Dubai

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi mtu wa Azam marine aliniambia kuna meli imeshawasili na itafanya route za Comoro! ni muda toka aniambie, hii iliishia wapi? au ilikosa vibali vya kwenda huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss iv kwenda comoro nauli bei gani alafu je kuna utaratibu wa visa
 
Habari za jion wapendwa kuna fursa ndogo ningependa kushare nanyi kuna mfanyabiashara kutoka comoro ambaye ana kiwanda kidogo cha kutengeneza yogurt( mtindi) so ameniomba nimtafutie packaging zifuatazo : so naomba kushare nanyi fursa ..anaeitaka hii fursa bas nitafute ..no.0736670680
Screenshot_20190304-214449_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214454_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214456_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214441_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214447_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214444_Photos.jpeg
Screenshot_20190304-214821_WhatsApp.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi himu wa 2011, jamaa wameeleza jinsi walivo mazurumati hayo mangazija

Dumelang
mkuu hakuna sehem hamna wazurumati wao pia ni binaadamu ..huwez kumwamnin mtu 100% tatizo wafanyabiashara weng hawapangi namna ya kufanya biashara na chaguo la bidhaa pia wanataka wakifika Kule bas wabwage mzigo na kurud huwez fanya biashara ya kukopesha nchi nyingne Kwan utachemka tu ufatiliaji..peleka bidhaa yako uza mpaka iishe rudi. mfano mm nikienda natumia one week mpaka 2 week kutegemea na ukubwa wa mzigo lakn naakikisha nauza mwenyewe mapaka unaisha sio kumwachia mtu et pesa utanirushia ama chukua Uniletee pesa baadae big no!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm ni mfanyabiashara tz-comoro ..nilianza mwaka Jana lakn mafaniko ni makubwa Kwan kuna fursa nying sana sababu visiwa vya comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..ivyo hupelekea kuwa na demand kubwa ya mahitaj hasa vyakula lakn changamoto hasa inayopelekea biashara ya comoro kusua sua ni usafirishaji lakn fursa ni nying sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara Kwan hata kwenye upende wa usafirishaji wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzur sana wakat tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati ...sababu kuna kipind comoro mzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakn fursa ni nying sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom