Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,474
- 11,920
Hili Ni wazo Bora Sana naunga mkono hojaa...
Ni kweli mkuu. Matokeo yake nayaona sana boss. Ni ubunifu na jitiada mkuu. Kwa siku hali ikiwa mbaya sana siwezi kosa 15,000 boss. Hali ikiwa nzuri mkuu 100k mpaka 600k kwa siku kupata ni kawaida boss.Hili Ni wazo Bora Sana naunga mkono hojaa...
Zipo holiday packages zenye maswali 100 kwa kila somo. Package nzima yenye masomo yote ndani yake kwa kila darasa bei ni 4000Paper za form one unauzaje kiongozi...?
Zipo zinapatikana mkuu. Naomba tuwasiliane whatsapp 0752026992Nataka package ya computer olevel
Zipo zinapatikana mkuu. Naomba tuwasiliane whatsapp 0752026992
Zipo holiday packages zenye maswali 100 kwa kila somo. Package nzima yenye masomo yote ndani yake kwa kila darasa bei ni 4000
Pia zipo papers za kawaida (terminal, Annual, mid-term, tests) , package zenye mitihani 10 bei ni 2,500 tu.
Tuwasiliane whatsapp 0752026992
Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
Mkuu hizi packages ni maswali tu boss. Ila kama utahitaji revision zipo zinapatikana za maswali na majibu kwa masomo ya Physics, Chemistry, biology, mathematics na Geography.Thanks a lot kiongozi hizo package zinakuwa Q&A au ni maswali tu peke yake...?
Kwa upande wa notes bei ni 3000 tu kwa kila kidato. Kwa upande wa package za maswali 100, bei ni 1000 tu.Hii nayo unauzaje kiongozi...?