Nipe huawei basiGoogle.
Nilikuwa nasikia matangazo ya techno boom redioni
Mkrya wako akikataa njoo kwangu nikununulie SamsungTunawaacha kama hivi tunaenda tafuta wengine watununulie![]()
Kwa hiyo utanisaidiaje? Au unataka iPhone 7poleeee sanaaaaaa
Eeeeh. Mtu anaedit picha mpaka nini sijuiBeautiful plus![]()
snapchat unapigaje picha ss....ile si ni App ya social network kama hizi zingine au inakuaje?!Camera ya Iphone nzuri ukipigia picha kwa snapchat. Mi samsung naipendaga camera yake. Ila Tecno bado sana aisee
Sijambo za wewe mkuuHujambo
ahadi ni deni lknYan unadai mpaka mwenyewe unajishtukia
sawaNgoja wajuvi wajeeew
Ebu mwagia bomba la mafuta maji uoneNakurogaaaa uniaccheeeee hukooooo kwani wewe unaonaje lakini haya mambo mfyuuuuuu
Keshakataa nininulie tu. J7 NatakaMkrya wako akikataa njoo kwangu nikununulie Samsung