Fursa hii kwa wadada!!!!

Fursa hii kwa wadada!!!!

wanawake wa kibongo wengne weng mawazo ya njaa wenzao wanaomb iphone 7 yeye anataka vocha ajiunge uni bando
Kwa sababu hata tuwaombe pesaaa ya mtaji mnatuzungusha mwaka mzima bora niombe vocha nichati Jamiforum hakuna namna
 
nawashangaa hasa wanaosema eti camera nzuri....na camera yake ilivyo tofauti ukinionesha picha tu najua ni ya tecno hahahaha
Yani Tecno hata picha zake hajifichi. Sijawahi pata moyo wa kutumia camera ya Tecno. Halafu mbovu mbovu hazichelewi kujizimia zenyewe.
 
Back
Top Bottom