Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,390
- 88,766
Umeona eeeh nilikuwa nataka nimpige kibomu shida yangu dazani ya vyupi






Umeona eeeh nilikuwa nataka nimpige kibomu shida yangu dazani ya vyupi






Tecno hizi hizi tunazoziona bongo au Tecno zipi?? Kama ni hizi ni mbayaaa. Kila mdada anaetumia Tecno lazima kwenye cmu ukute app ya kuedit pichaYani camera za tecno ni fire hata ya promotion iko vizuri usiniulize maswali mm naomba simu
Yupo sahihi millard.Tofautisha Bongo na China
Eeeh. Si mabeb zake walimpaSasa unadhani mwenzako alipewa tu iphone7 bure bure.
Sawa bby. Nije niichukue lini sasa?Mimi nakununulia bila wasi wasi
hapo ndio mnapokosea shauri yenuTunawaacha kama hivi tunaenda tafuta wengine watununulie![]()


Ndio hajasema yeye alitoa niniEeeh. Si mabeb zake walimpa
Demi nenda China na ww ukajaribu bahati yako,bongo wanaishia kuhonga tecno tena zile featured phonesHahahahahaha nakwambia unaishia kununuliwa tecno ya 25 tuuuu wanaume wa bongo wana dhambi sanaaa

sijui mmSh ngapi kwani?
Techno boom.?Sawa bby. Nije niichukue lini sasa?
Nimekuchoka nimepanga nikuchambe hadi unikomeWewe tuuuu usisahau kunitag![]()
Mshana jr kuja hukubongo ukimwambia boyfriend akununulie hata Tecno ya promotion anakuandikia uzi Jamiforum mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu