sina mmKhaaah. Embu fungua kama unayo uone kama inapiga picha.
Miller anatumia IphoneAkili tu mbn Mr miller amekimbia nilivyomuomba screenshort hebu muiteee
Mimi nilikula ila mwenzangu kilichomkuta alibaki nacho moyoni tuHivi mlikula mabichiii eeeh usiniambie
Ndio, kwa sasa gengeni panatosha, nitapika nikija tena hukoSi nilishakufundisha njia nzuri ya kupika maharageeee
niambie lini nije dodoma kuchezea hivyo vitasa Demiss?Ila na wewe kwanini unakuwa hivyo hutaki nikucheke loooh mfyuuu uniache uko na siku tukikutana utachezea vitasa vyangu mpaka ukomeeee



Hahahahaaa.Duuh!![]()
weweeeAkili tu mbn Mr miller amekimbia nilivyomuomba screenshort hebu muiteee
Ngoja nimuite kakaNjooo Pm huku tusimwage mcheleeww![]()