Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Only u darling...sitaki mwingine
Naomba rushwa ya ngono ama sivyo nitoe siri zako.
Only u darling...sitaki mwingine
Yaani umbuje Jf idumu tu!!
Mie kiu ikikolea na pilika za jiji na log in nione hiyo avatar yako tu,koo linapoa kabisa!!!
Ukimuona asali wa moyo wangu OLESAIDIMU mwambie nimemkosa!
Umbuje Ennie...haya kijana wangu OLESAIDIMU come zis way...ushindwe mwenyewe
Sasa mnaonaje tukianzisha mchezo na mwezi huu tunaanza kwangu mtoa wazo?
Umbuje Ennie...haya kijana wangu OLESAIDIMU come zis way...ushindwe mwenyewe
Vipo vingi ila kwa uchache Comment za miss chagga, Evelyn Salt na lara 1,picha za Tyta...they always make my day
Sasa mnaonaje tukianzisha mchezo na mwezi huu tunaanza kwangu mtoa wazo?
Umbuje umeniita?
sema tukutane wapi.....usiseme tafadhali
Ndio umbuje....
Sijajua kama wewe ni ke au me. Kama ni Ke ningekuomba PM ili tukadiskashen kwa kina zaidi. İla kwa ufupi, siri ya napopatia majibu ni kubwa sana. Hii tunaijua tuliozaliwa alhamis usiku kwa sababu lazima baba zetu waliwakabidhi mama zetu mimba za alfajiri kabla jogoo hajawika.
Baada ya kusema hayo naomba turudi kwenye mada, aliyejua maziwa alizıgunduaje chuchu??