MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Asprin Leta maneno mkuu.....
Asprin Leta maneno mkuu.....
Sawa bhana lakini hebu ona ndege hawa Nyangenyange na kunguru weusi........Kunguru kila mmoja na lwake lakini kwenye matatizo huwa pamoja.....tofauti na nyangenyange wanakuwa pamoja lakini kwenye matatizo kila mmoja na lwake.........hahaha..umenichekesha !! Lakini hata vijiweni kila mtu ana mtuwe, Kuna watu uko free kuwataja coz mnaendana, hata kwa stories tu..
mbona nipo mkuu...ila wakati mungine mambo yananibana........Mambo vipi MJINI CHAI. umepotea sana swahiba.
Naomba rushwa ya ngono ama sivyo nitoe siri zako.
Kumbeee! Sasa nimefahamu..
I'm not satisfied with your answers..pls
fafanua tafadhali..