Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.
wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.
Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa CCM unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.
Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James?
Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.
Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani?
Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.
Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha
This was a wakeup call.
wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.
Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa CCM unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.
Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James?
Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.
Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani?
Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.
Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha
This was a wakeup call.