Hakuna mwanamke wife material kama wewe mamito. Watu wanajudge kutokana na michango yako ambayo ni ya kuburudisha tu. I know youDuh umeniita mie nimeshindikana duniani na ahera mwenzako
Hakuna mwanamke wife material kama wewe mamito. Watu wanajudge kutokana na michango yako ambayo ni ya kuburudisha tu. I know youDuh umeniita mie nimeshindikana duniani na ahera mwenzako
Kwa jinsi ulivyo andika, inaonekana hakuwa tu rafiki wa x wako bali alishakupitia pia na hela zako kala. Una hasira naye balaa.Yaan siku yako ikifika nakwambia hata kama umeshakua jivu na mm nakuja na kidumu tena cha petrol nawasha upya hilo jivu
Wordpumvi ya bure tamuHumu duniani kuna raha nyingi sana...jipende mwenyewe, tafuta pesa, kula bata..life goes on
Heheheheh kibabe sanaBi mkubwa mlokole,naanza wapi kumwambia?kesi iliisha kihuni tu.
Mi nakula mzigo bure tu,dogo anahudumia familia.
On serious note, mtu anakula hela za mpenzi /wapenzi/hawara zake, wewe inakuuma nini??Pumzika basi
Ndio nimekwambia ni mtu wa kwanza kunifikisha polisi,yani mtu anakupeleka had polisi unan'gan'gania nae tu,itakuwa ulilishwa limbwata.Yani ukinipeleka polisi tu jua hyo ndio sku ya mwisho mm na ww kukaa pamoja.
Aah mtoto mwenyewe bishoo tu tungeondoka nae,masela wana haha huyo unachelewesha boss tupe kazi.ndo pale kumuonyesha njemba nne pale nje kaanza kulialia ndo nikampa hilo sharti akileta ubwege nnae aah akafuata masharti tu.Heheheheh kibabe sana
Take ur time young manOn serious note, mtu anakula hela za mpenzi /wapenzi/hawara zake, wewe inakuuma nini??
Bata bila mpenzi haliendi bana !!!Humu duniani kuna raha nyingi sana...jipende mwenyewe, tafuta pesa, kula bata..life goes on
Una wivu kwa kuwa walikuumiza!?? Maana si kwa povu hilo!!! Je !?? Wote wanaouana kwa wivu wa mapenzi ni wachaga!?? Yule mmakonde aliye mchoma mkewe kwa gunia mbili za mkaa ni mchaga!?? Kama mchaga kakutosa usigeneralize tazama mapungufu yako!!Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa
Mwamba aliingia na gia ya ndoa, ukamegwa, ukagharamia, ukaachwa.. Lazma uwe na kinyongo/hasira na bahariaTake ur time young man
Mkuu inaonekana unamjua kiundani kabisa isije kua kishapita nawe hapa umegeuza storyyaani huyu kijana simmalizi. Kapanga geto hapo makumbusho. Nilishangaa kukutana naye. Tumesoma wote chuo kimoja. Eti alisikiaga nna hela sana akaanza niombisha nyimbo na anajua mshkaji wake alikua bf wangu. Nikaenda mtukana huyo ex wangu na huyu jamaa wake. Maana namba ametoa kwa ex wangu. Basi mtaji wake ndo hilo dudu lake labda itakua na ulimi. Yaan anawachunaaa Mungu wangu. Kama hajatumiea jini la ajali siku sijui. Na ningelioenda maybe lingenichuna sana maybe ni vile ninachagua sana. Yaan we falaaaaa moto wako unakujaaa
Hakika!! Usitegemee furaha kutoka kwa mume, mume, boyfriend au girlfriend taan utakuwa disappointed vibaya sana mwisho wa siku usipoji controll yanatokea hayo sababu umewekeza sana kuliko kingineHumu duniani kuna raha nyingi sana...jipende mwenyewe, tafuta pesa, kula bata..life goes on
wachaga wanatakiwa kupewa chanjo ya covid ndio watatulia.Una wivu kwa kuwa walikuumiza!?? Maana si kwa povu hilo!!! Je !?? Wote wanaouana kwa wivu wa mapenzi ni wachaga!?? Yule mmakonde aliye mchoma mkewe kwa gunia mbili za mkaa ni mchaga!?? Kama mchaga kakutosa usigeneralize tazama mapungufu yako!!
Mabinti wakichagga hawasafishiki kama ilivyo awamu iliyopita.Nianze kwa kulaani kitendo alichofanya huyu Grace, cha kumuua mpenzi wake kwa kumteketeza kwa moto. Ni kitendo cha kinyama sana.
Funzo:
1. Tunatakiwe tuwe real kwenye mahusiano yetu. Ni dhambi kubwa sana kumuaminisha mtu kuwa unampenda halafu kumbe kuna mwingine unampenda na umeshamtambulisha kwenu.
Biblia inasema, "Upendo una nguvu sawa sawa na kifo" Si vyema kucheza na hisia za watu.
Kama mtu humupendi kwanini umdanganye?
Zungu amepokea mshahara wake aliositahili. Bado wewe unae-cheat sijui utapokea lini.
NB: Msianze kuhusisha kabila la mtu na upumbavu wake. Mambo hayo ni ya kizamani sana. Mimi Nebuchadinezzer nina mchumba mmoja tu tena Mchaga wa Machame. "She is very humble, beautiful and God-fearing.
Kama una mpango na demu wako, mwambie mwanzo kabisa sio kumfanya dada wa watu anawekeza kwako halafu mwisho wa siku, faida anakula mtu mwingine.
Poleni sana wafiwa.
PIA SOMA
Una umama sana aisee. I rest my caseMwamba aliingia na gia ya ndoa, ukamegwa, ukagharamia, ukaachwa.. Lazma uwe na kinyongo/hasira na baharia
Hapana. Siwezi. Haya maisha nimejamkuta nayo mwaka juzi. Hakua nayo chuo. Ndo classmate wangu akawa ananielezea tabia za jamaa. Sikutegemea maisha niliyomeona nayo. And i dont date shouting boys. I date ordinary men. Ikanisaidia kuconnect dots kwamba lengo lake enzi hizo alikua akitaka nini kwangu. Nikikukataa leo hata kesho nakukataa. Nikikupenda leo hata kesho nitakupenda.Mkuu inaonekana unamjua kiundani kabisa isije kua kishapita nawe hapa umegeuza story
Then you should leave that nigga alone.. Let him beUna umama sana aisee. I rest my case