Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Zungu matatizo yake yamekwisha na ya grace ndo yameanza mkuu
Atakoma. Kabila langu mwanamume akikutamkia kuwa sikutaki tunafundishwa tukae mbali nae, mapenzi hayalazimishwi Kwanza ni tusi kubwa mwanamume kukutumia na kwenda kuoa mwingine halafu uingie kwenye mapambano ya kulazimishwa kupendwa Sisi tumefundishwa kumshukuru MUNGU na kusonga mbele.
 
Kuna mmoja amemuua mama yake afu akamtoa na macho.jamaa ni nusu wanyama.
Na
Kuna kisa kimoja Shinyanga yaani mama alisubiri mpaka hela ya kustaafu ya Baba imeingia Kwa account akamletea majambazi mchana kweupee, kijana aliingia chumbani kwake kimyakimya mara baada ya mama kuhakikisha hamna MTU zaidi yake na Mzee, chumba cha kijana kiko karibu na sebuleni na nyumba haikuwa na ceiling, Baada ya watu kuua wakamwambia mama tupe chetu akawacash Ile wanaondoka anaanza kulia kuomba msaada. Kijana akajichanganya baadae akaongoza Polisi. Mchaga huyo.
 
Kama mtu haeleweki achana nae
Haya mambo ya kulazimishana mapenzi hadi kufikia kuuana ni ya kishamba na kishetani

Mungu atupe macho na masikio ya ndani kuelewa sehemu zisizotufaa
Mama D umehamia huku ,hutaki siasa NOWADAYS

USSR
 
Hahahahah hapo kweli patamu, kwahio ukamsusia mazigo na gharama za kumtunza kwa biti kuwa utamwaga tope akizingua af ukawa unaimega kisela bila bi mkubwa kujua 😅😅😅
Bi mkubwa mlokole,naanza wapi kumwambia?kesi iliisha kihuni tu.
Mi nakula mzigo bure tu,dogo anahudumia familia.
 
Kuna kisa kimoja Shinyanga yaani mama alisubiri mpaka hela ya kustaafu ya Baba imeingia Kwa account akamletea majambazi mchana kweupee, kijana aliingia chumbani kwake kimyakimya mara baada ya mama kuhakikisha hamna MTU zaidi yake na Mzee, chumba cha kijana kiko karibu na sebuleni na nyumba haikuwa na ceiling, Baada ya watu kuua wakamwambia mama tupe chetu akawacash Ile wanaondoka anaanza kulia kuomba msaada. Kijana akajichanganya baadae akaongoza Polisi. Mchaga huyo.
Ukiangalia mchaga ambaye Hana hela huwa Hana mazoea na ndugu zao Mana hawanaga utu kwa mtu asiye na pesa.
Marafiki zake na ndugu zake wanakuwaga ni watanzania Ila sio akina hao. Mana kule ukiwa hauna kitu hauthaminiwi. Utatumwa na mdogo wako utamnawisha mikono.
Mchaga ni wa kuchepuka naye ama unamzalisha unamuachia watt analea wewe unakaa mbali.
Kuna mmachame Fulani ivi akajenga mke wake hajui anadai akijua tu anamuua.
Pia wasiokula chakula Cha wake zao ni wengi Sana.
Pale USA river akina mama wenye wa kichaga ni wengi mno akina baba hawapo wameshapumzishwa mapema.

Mchaga hanaga urafiki wa bure na mtu kabisa.yaani ukiona akajisogeza kwako basi Kuna potential ameiona kwake awe me or ke
Kuna kisa kimoja Shinyanga yaani mama alisubiri mpaka hela ya kustaafu ya Baba imeingia Kwa account akamletea majambazi mchana kweupee, kijana aliingia chumbani kwake kimyakimya mara baada ya mama kuhakikisha hamna MTU zaidi yake na Mzee, chumba cha kijana kiko karibu na sebuleni na nyumba haikuwa na ceiling, Baada ya watu kuua wakamwambia mama tupe chetu akawacash Ile wanaondoka anaanza kulia kuomba msaada. Kijana akajichanganya baadae akaongoza Polisi. Mchaga huyo.
 
Ukiangalia mchaga ambaye Hana hela huwa Hana mazoea na ndugu zao Mana hawanaga utu kwa mtu asiye na pesa.
Marafiki zake na ndugu zake wanakuwaga ni watanzania Ila sio akina hao. Mana kule ukiwa hauna kitu hauthaminiwi. Utatumwa na mdogo wako utamnawisha mikono.
Mchaga ni wa kuchepuka naye ama unamzalisha unamuachia watt analea wewe unakaa mbali.
Kuna mmachame Fulani ivi akajenga mke wake hajui anadai akijua tu anamuua.
Pia wasiokula chakula Cha wake zao ni wengi Sana.
Pale USA river akina mama wenye wa kichaga ni wengi mno akina baba hawapo wameshapumzishwa mapema.

Mchaga hanaga urafiki wa bure na mtu kabisa.yaani ukiona akajisogeza kwako basi Kuna potential ameiona kwake awe me or ke
Wewe mwanaume ukiwa Malaya kwa mkeo wa ndoa jiandae kutangulia kuzimu in graces voice
 
Huwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa😄😄😄😄😄😄
Is way of killing competition wenzenu wanaolewa kila siku,mrabaki mnanganga macho
 
Nianze kwa kulaani kitendo alichofanya huyu Grace, cha kumuua mpenzi wake kwa kumteketeza kwa moto. Ni kitendo cha kinyama sana.

Funzo:
1. Tunatakiwe tuwe real kwenye mahusiano yetu. Ni dhambi kubwa sana kumuaminisha mtu kuwa unampenda halafu kumbe kuna mwingine unampenda na umeshamtambulisha kwenu.

Biblia inasema, "Upendo una nguvu sawa sawa na kifo" Si vyema kucheza na hisia za watu.

Kama mtu humupendi kwanini umdanganye?

Zungu amepokea mshahara wake aliositahili. Bado wewe unae-cheat sijui utapokea lini.

NB: Msianze kuhusisha kabila la mtu na upumbavu wake. Mambo hayo ni ya kizamani sana. Mimi Nebuchadinezzer nina mchumba mmoja tu tena Mchaga wa Machame. "She is very humble, beautiful and God-fearing.

Kama una mpango na demu wako, mwambie mwanzo kabisa sio kumfanya dada wa watu anawekeza kwako halafu mwisho wa siku, faida anakula mtu mwingine.

Poleni sana wafiwa.

PIA SOMA
Kama mchumba wako mmachame subiri zamu yako,hautoboi miaka 50
 
Tunavyotafuta Kitonga kupitia Neema.

Utachomwa tu,,tembeza dudu huku na kule ukijua una ndoa , kama si Neema kukuchoma basi ujue pia kuna mbaba anakuangalia na Kikopo cha Vaseline au KY.
Ujue ako Mdada kama Neema anakupimia tu upepo.Ukijaa..unaliwa ..hakuna cha mchaga wa nani.

Msijifiche nyuma ya Wachaga..
 
We! meneja wa makampuni, sio wachaga wote, wengi ukiwaoa ni neema kwani wanafungua njia ya kipato. Ila kuna wanaopenda kuitwa"mama mwenye nyumba" au kwa mama fulani.
 
Ukiangalia mchaga ambaye Hana hela huwa Hana mazoea na ndugu zao Mana hawanaga utu kwa mtu asiye na pesa.
Marafiki zake na ndugu zake wanakuwaga ni watanzania Ila sio akina hao. Mana kule ukiwa hauna kitu hauthaminiwi. Utatumwa na mdogo wako utamnawisha mikono.
Mchaga ni wa kuchepuka naye ama unamzalisha unamuachia watt analea wewe unakaa mbali.
Kuna mmachame Fulani ivi akajenga mke wake hajui anadai akijua tu anamuua.
Pia wasiokula chakula Cha wake zao ni wengi Sana.
Pale USA river akina mama wenye wa kichaga ni wengi mno akina baba hawapo wameshapumzishwa mapema.

Mchaga hanaga urafiki wa bure na mtu kabisa.yaani ukiona akajisogeza kwako basi Kuna potential ameiona kwake awe me or ke
Maskini wa mwili na roho huzungumzaga hivi siku zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom