Fununu za TCU

Fununu za TCU

Bachelor's of art with education mkuu
Yah atakama nibualim angalia na chuo uckute uliomba UD akat una DDE na div 2 ya12 apo lazma uambulie patupu mm najijua kabisa tang kitambo akil zangu na UD ni + na - ko ata cku i include kwenye selevtion zangu we omba vyuo vyakuelwe ka kulingana na ufaulu wako co ukomae na Mzumbe cjui Sua akat nawe n div 2. Ya DDE kama mm kaka TCU hawawez kukuacha iv lazma kuna sehem uli ji kwaaaaa
 
Yah atakama nibualim angalia na chuo uckute uliomba UD akat una DDE na div 2 ya12 apo lazma uambulie patupu mm najijua kabisa tang kitambo akil zangu na UD ni + na - ko ata cku i include kwenye selevtion zangu we omba vyuo vyakuelwe ka kulingana na ufaulu wako co ukomae na Mzumbe cjui Sua akat nawe n div 2. Ya DDE kama mm kaka TCU hawawez kukuacha iv lazma kuna sehem uli ji kwaaaaa
Hamna mkuu nina div. 2 ya 10 nmeomba ad udom et pia wameniacha
 
Mi naona ni kwa form six tu,,, sisi wadiploma bado maana kila niingia naambiwa be patient the system is running...
 
Tatizo udom umeiweka namba ngap kama ingekuwa ya kwanza wacnge kuacha kabsaaaaaaaaa m naic walikua wanaangalia chaguo la kwanza tu kama ujakiz vigezo wana ki chinja but omba kaka ombaaa acha uzembe mwanaume hakatag tamaa na vtu vidogo ka ivo
 
Tatizo udom umeiweka namba ngap kama ingekuwa ya kwanza wacnge kuacha kabsaaaaaaaaa m naic walikua wanaangalia chaguo la kwanza tu kama ujakiz vigezo wana ki chinja but omba kaka ombaaa acha uzembe mwanaume hakatag tamaa na vtu vidogo ka ivo
Kweli kabisa broo
 
Tatizo udom umeiweka namba ngap kama ingekuwa ya kwanza wacnge kuacha kabsaaaaaaaaa m naic walikua wanaangalia chaguo la kwanza tu kama ujakiz vigezo wana ki chinja but omba kaka ombaaa acha uzembe mwanaume hakatag tamaa na vtu vidogo ka ivo
Mkuu tena iyo udom ndio niliiweka ya kwanza il kuhofia hii second round.
Sasa sielew pale napo wameenda wenye div. 1 tupu
 
Duuu kwel mkuu.
Ila ata ivo bado akil yang imevurugika , na sijawa tayar kuomba tena.
Kiufup wameniboa
Sasa kak c as members tusha play part yetu na tume kushaur uombe so kuhusu kuwa tayar or kuto kuwa its up to u chelewa chelewa utakuta mwana c wako kumbka vyuo vilivowekwa second n vichache mnaovpiganoa saiv n weng aya bob kaz n kwako kama vodacom
 
Sasa kak c as members tusha play part yetu na tume kushaur uombe so kuhusu kuwa tayar or kuto kuwa its up to u chelewa chelewa utakuta mwana c wako kumbka vyuo vilivowekwa second n vichache mnaovpiganoa saiv n weng aya bob kaz n kwako kama vodacom
Asante kwa ushaur mkuu
 
Pole sana mkuu,ombe vyuo vingine labda UDOM ilikuwa sio bahati yako
 
Ivyo vyuo wanavyosema mpaka vicomfim MTU aliyechaguliwa vinachukua mda gani???
 
Screenshot_2016-09-13-09-03-25.jpeg
jaman uki andikiwa hv maana yke huja chaguliwa au . msaada naomba wakuu
 
Back
Top Bottom