Fununu za TCU

Fununu za TCU

NOT FOUND ISIKUTIE SHAKA
ITAKUA WEWE ULIFUNGUA SYSTEM WAMEIFUNGA
KOZI MIMI NILICHEK NKAKUTA NMECHAGULIWA BAADA MUDA NKASEMA HEBU NICHEKI TENA FURAHA YANGU NDIO IKANILETEA UJUMBE WA NOT FOUND
SO MSIHOFU NDUGU ZANGU WANAWEKA MAMBO SAWA.
PUNGUZENI TU PRESHA WOTE TUNAENDA CHUO
Duuuuh yan unatia matumaini kwa mbaaaaaaaali
 
Mi nliomba B.A of Tax hii ilikuwa ina taka watu 200 na first choic tuliweka wat 70 tu

Second nkaweka B.A ya Insurance and Risk Management i ilikua inataka watu 250 na waloweka first walikuwa kama 83 zote iz zilikua IFM na hazikuwa zina requirement ya BaM coz bam mm ni ****** wa kwanza Tanzania nzimaaa an ata 1+1=?? Cjui

Third nlipachika pachika tu coz nlijua hawawez nluka izo mbil za kwanza na mm srm yangu co kusoma Economics walann drm yangu ni kusoma Computer science ambapo mm na experienc sana na PC issues na CM ni fundi mmoja amaizing ata ukifatilia hum jamii na post zang kibao na nsha soma online coursez nying za Computer language kama C,assembly na java nk. But nliona nikiomba vmpter science ma ka E kangu ka bam wata nchinja nkaona niwwke tu izo vitu bob nkimaliza chuo io ajira hata nsipo pata haona tabu ntafanya mambo zangu zingine kabsaa mana ata cpend kusoma economics but hali imenibana sa n fanyaje nge lazmisha ku apply cmpter ngekuwa na lia kama ww bob w omba mi nacho target npaye cheti tu na kizika ndan naendelea na issue zang coz amsill young 20YRS bado sanaaaaaa bob
Kwa mwandiko huu ni bora tu usichaguliwe
 
Back
Top Bottom