Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 575
Kuwa na subiraWenge lazma liwepo broo![]()
![]()
![]()
Kuwa na subiraWenge lazma liwepo broo![]()
![]()
![]()
Leo tena ni mwendo wa kukesha![]()
![]()
Mwenye TAARIFA zozote za TCU mpaka sasa tu naomba atujuze ...! maana naona hawa wakuu wamepiga kimya na siku waliyoahidi ndo hii inaenda kuisha
Mwenye lolote Tafadhali
![]()
![]()
![]()
Kama mtu ujachaguliwabitakuletea hivi na kama umechaguliwa itakuletea iv wadau angalien mwese kutofautishaView attachment 399133
Tayar jamani angalieni wamesha Achia mzigo brothers ingia kwenye profile lako angalia kama uja chaguliwa utaonaa
Duh ngoja tucheki asehView attachment 399133
Tayar jamani angalieni wamesha Achia mzigo brothers ingia kwenye profile lako angalia kama uja chaguliwa utaonaa
Ee pipo nyomi kinomer saiv internet yenyew chengaaa 2pu lazma jam iwepoYan haifunguk,,,,,,,duh
Skiza kakaBora niende kwenye mitandao wanipe meza nianze kusajil lain. Maana hii elim ya kamar siiwez yan two ya kum alaf ata udom ukose.
Imenishinda sasaView attachment 399260
Uliomba kozi zipi wewe brooBora niende kwenye mitandao wanipe meza nianze kusajil lain. Maana hii elim ya kamar siiwez yan two ya kum alaf ata udom ukose.
Imenishinda sasaView attachment 399260
Nmekuelewa mkuuSkiza kaka
Omba tena Golden chanc neva comes Twice uli aplY bila kuangalia kama kuna ushindani kwenye cozz ulo ziomba
TIME Z NOT UR FRIEND
Utaukumbuka huu mda ulo nao
[HASHTAG]#The[/HASHTAG] Biggest mistake u can make in This Life is To Give Up#
Ualim mkuuUliomba kozi zipi wewe broo
Bachelor's of art with education mkuuCombination IPI??
Mi nliomba B.A of Tax hii ilikuwa ina taka watu 200 na first choic tuliweka wat 70 tuUliomba kozi zipi wewe broo
Yan iyo elfu 50 walionipiga nmewapa bure, siapply tena ata waeke ten round.Hatari sana
Hizi ndo changamoto za maisha