mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
Wana jf nimepata fununu kutoka kwenye vyombo vyangu vya habari nimepata tetesi kuwa huenda mabadiliko ya cabinet yakawa jumatano ya wiki ianzayo kesho,kisha nikaendelea kudadisi nikaja kupata tetesi kuwa mabadiliko hayo yatawakumba wengi ikiwemo mawaziri waandamizi,na katika kutafuta habari hapa na pale nikaja kupata TETESI akuwa huenda hawa wafuatao wanaweza kupumzika kwa sasa,(kumbuka ni tetesi);
1-Capt john chiligati-ni kwa sababu ana majukumu mengine makubwa ndani ya chama so itakuwa vigumu kufanya mambo mengi kwa mpigo
2-joseph mungai
3-prof juma kapuya
4-magufuli
5-dr Nchimbi
6-masha
7-dr mathayo
8 ngeleja
9-hawa ghasia
10-prof mwandosya
11-prof mssola
12-mramba
pia katika pita pita yangu ya hapa nakule nimeweza kupata tetesi kuwa wafiatao HUENDA wakawa ndani,
1-aggrey mwanri
2-jaka mwambi
3-harrison mwakyembe
4-makamba(inasemekana kwa yeye kupitishwa tena ukatibu ilikuwa si pendekezo na pia habari ya kutolewa ukatibu ilikuwa imezagaa mno) la wakubwa,so kitakachotokea huenda akaachia ngazi ya ukatibu ili nae aingie barazani
5-rostam azizi
6-na pia katika nafasi ya mpendwa wetu marehemu salome mbatia(rip)inasemekana nafasi yake inaweza ikachukuliwa na wafuatao;
tatu ntimizi
frolence kyendesya
mama shelukindo
jenista mhagama
hizi ndo tetesi nilizoweza kupata,kama kuna mwengine ana lolote basi jamvi liko wazi