Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
tatizo langu kubwa ni kuwa kama atakubali kufanya mabadiliko wakati huu atakuwa ameonesha udhaifu mwingine kama kiongozi, ule wa kutabirika!
Mwanakijiji nani amekutuma umtete..hakuna cha udhaifu wala nini?safari imefika kwa kina Mramba na Mungai kuachi ngazi??Baraza la Mawaziri linabadilishwa Desemba,na niko Lindi hapa..nitajitahidi kumchokonoa Muungwana kwa swali la kizushi,lini tutegemee Timu mpya?stay tuned..
Nina ujasiri kwa hili,si alisema wakina Mwanri atawapangia kazi nyingine?