Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,500
- 21,974
Mvinyo uleule kwenye chupa mpya!Mkeka umechanika....!?
Hivyo ndivyo mchora vibonzo wetu wakudata anavyotizama mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini Tanzania.
Umemtambua nani hapo aliyeachwa na gari? na Unaona mabadiliko hayo yataleta tija?
Chanzo: DW Swahili View attachment 2735896
Sasa naamini hii ndio maana ya bara giza,hata uwashe taa bado giza limetanda.Hadi pale watulizwapo mahali na kuwashiwa taa na waangalizi 12😂😂😂 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Mvinyo uleule kwenye chupa mpya!
Hakuna tija itakayoonekana na kabla ya this time next year hili baraza litapanguliwa tena
Kinachoonekana hapo ni makundi na nyufa, kuviziana na kutafutana
Hakuna mwadilifu hata mmoja, hakuna msafi, wote ni wapiga dili wasiozingatia majukumu yao! Kila mmoja anawaza kula haraka kabla hajaondoshwa hapo alipo
Tumewatambua wote huyo mchoraji mvivu hodari anachukua picha(photographs) na kubandika na kuchora vimwili vya kikatuni chini kamaliza, hadi ktk sanaa tunaleta michongo tu tutaishia hapa hapa.Mkeka umechanika....!?
Hivyo ndivyo mchora vibonzo wetu wakudata anavyotizama mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini Tanzania.
Umemtambua nani hapo aliyeachwa na gari? na Unaona mabadiliko hayo yataleta tija?
Chanzo: DW Swahili View attachment 2735896