poa tu lakini habari ndio hiyo.Chadema ni chama cha wachaga kwa jinsi kinavyoendeshwa.Mwaka 2005 karibu 100% ya wabunge viti maalum walikuwa wachaga,baada ya kelele ndio 2010 wakachomekachomeka vyasaka,hili liko wazi ndugu usibishe.takwimu zako ziko sawa lakini kwa hili kubisha ni unafiki.zitto licha ya kukipa umaarufu chama anaonekana kama kinyesi tu huku makanjanja akina lema wanaoneka mashujaa,aibu kwel
Huwezi kufikiri njee ya hii triangle CCM kushika hatamu vyama vingine ni adui lazima vife, Watu wa kaskazini especially wachagga ni shida tatu Ukiristo... kwisha habari yakooo. umeishia kulazimisha hoja za nguvuu badala ya nguvu ya hojaa.. Ukiangalia kwa jicho lilovalishwa miwani yenye lens triangle hiyo lazima Uone celebrity Zitto anaonewa...