mary mary
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 869
- 287
Nirudishwe Tanzania?
Kwani mimi kiroba?
Kwani hujijui? utapeli ndo unakuweka mjini ukaamua kukimbilia CCM kwa matapeli wenzako ili wakufichie...kwanza mkeo kasharudi?
Nirudishwe Tanzania?
Kwani mimi kiroba?
Hakuna cha kuangaika na CHADEMA, mimi kama mpenda amani sina budi kufatilia chaguzi za ndani za CHADEMA kwa lengo la kujua ni nani atakae kuwa mwenyekiti, huyu wa sasa zaidi ya kusababisha mauaji na uvunjifu wa amani kwa kiasi kikubwa hapa nchi, hakuna la maana alilofanya. Je, mkimpa Lema itakuwaje?
Ha ha ha Vipi Chris yamekuwa hayo tena? si umesema ushauri sio lazima kuufata bali unajipima? Nimeona picha zake kwenye ikaona atakufaa hasa kipindi hiki cha baridi.Ungekuwa jirani lazima ningekumwigamba tu...
WanaJF!
Ni wazi kuwa wananchi na hasa wapenzi wa CHADEMA wangependa kujua ni nani kati ya viongozi waliopo mwenye nafasi kubwa ya kuongoza chama hicho kwenye nafasi ya uenyekiti katika ngazi ya taifa.
Ni ukweli kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama kikubwa cha siasa nchini, hivyo kwa hadhi hiyo uchaguzi wake ni lazima uwe na hamasa kulinganisha na chaguzi za vyama vingine, hivyo ni haki kwa wananchi kuwa na shahuku na uchaguzi wa CHADEMA.
Katika penya penya zangu na uchunguzi mkubwa nilioufanya kwenye chama hicho, nimegundua kuwa ndani ya CHADEMA kwa sasa ni bwana Godbless Lema ndiye mwenye nguvu na nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Aidha, ndugu Lema kwa sasa anapigiwa 'promo' na mwenyekiti wa sasa, bwana Mbowe, kwa kuhakikisha ana ambatana nae kwenye mikutano mikubwa kwa midogo ya CHADEMA, na pia bwana Mbowe bila kificho uwa ana msifu Lema kuwa ndiye 'jembe' la CHADEMA.
Lakini vilevile ningependa ieleweke kwamba, katika mchakato wa kumpata mwenyekiti au kiongozi mwingine yeyote ndani ya CHADEMA kwenye ngazi ya taifa, vigezo vifuatavyo sio vya muhimu sana;
i) ELIMU, angalau mwombaji awe na elimu ya kidato cha nne, nadhani hii bwana Lema atamudu.
ii) UZOEFU, ni CHADEMA pekee ambayo utoa nafasi kwa mtu kuwa kiongozi pasipo kukitumikia chama kwa kipindi cha angalau miaka mitatu.
iii) MAADILI, hili halizingatiwi kabisa, na imeonekana likiwekwa kama kigezo cha kupata kiongozi ndani ya CHADEMA ni wengi watakosa nafasi.
Hivyo basi, ni wazi kuwa kama sifa tajwa hapo juu zimepuuzwa na CHADEMA katika mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho, ni ukweli usio pingika kuwa Godbless Lema ana andaliwa kuirithi mikoba ya Mbowe.
Kwani hujijui? utapeli ndo unakuweka mjini ukaamua kukimbilia CCM kwa matapeli wenzako ili wakufichie...kwanza mkeo kasharudi?
Lema akipata kuwa mwenyekiti basi Chadema ndo itakufa na kusahaulika kabisa
Huyu jamaa akiwa mwenyekiti chama chote watakuwa wavuta bangi.
Na utakufa wewe kabla ya cdm
Endelea kuishi kwa fununu mpaka utaja stuka mmekuwa chama cha upinzani tena kisicho na wabunge kabisa!
Vipi madiwani 8 mliowatimua imekuwaje bosi wenu Nape awarejeshe kazini?
Vipi chama chako kimeshindwa kuwafukuza mafisadi na sasa kimebariki biashara ya madawa yakulevya kwa wanachama wenu kisa hamna pesa ya kuhonga wapiga kura 2015?
Hakuna Mto Luaha kuna Mto Ruaha,ujanja mwingi shule Ndogo,kipindi kimoja tu umepewa kuganga njaa,unasupport kila kitu anachofanya Mbowe upate huruma yake umeliwa![]()
Jembe ZZK Rais wa Chadema aliyekataa posho jukwaani na Bungeni,nyinyi wanafiki wakubwa na Mbowe wenu mmekataa posho jukwaani lakini Bungeni mnachukua hukumu ya unafiki wenu iko 2015 mtatujua mnazani sisi wa kudanganywa kitoto,waone waoga tu mmeamua kuchukua posho kwa hofu ya kuangukia pua 2015 mnachukua chenu mapema
Hongera kwa kusoma nyakati miligomea posho na bado mnachukua mkono wa nyuma uadilifu wenu kwa wananchi uko wapi,mlitolee tamko wazee wa matamko nyinyi