Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

Hey gal put ya biggy a..ss on da floor!
Coz we gonna do it to ya!
We just gonna do it ya...!

By Flip mode squad!
 
Ndugu zanguni,

Baada ya kuona chama changu cha zamani chadema kinayumba kama mtumbwi kwenye dhoruba kali huku manahodha wake wakiwa wamaechanganyikiwa hawajui la kufanya , nimeona ni vyema nitoe ushauri kwa makamanda ili kunusuru haka kamtumbwi kao.

Mtu pekee anayeweza kukiongoza chama kikamanda na kisawasawa ni KAMANDA LEMA

Lema ni kamanda mtiifu sana na mwenye cv nzuri ndani ya Chadema

Nawaomba makamanda mumuunge mkono Lema ili aweze kuwavusha hapa mlipo

Ni wakati wa kujiunga na TEAM LEMA ...
IMG_4271.JPG



JITAMBUE!
Demu wa jamaa akikusumbua kisha akalegea wakati bwana ake hayupo huwa anakimbilia kusema "tumia hata kinga"ili azuie mimba kusudi aendelee kumdanganya jamaa yake kuwa hajawahi kupigisha nje ya ndoa!!!Chadema imeshawang'oa bikra Ccm subirini mimba mjifungue mauti yenu.
 
Naona umekosa visanga vya kumpaka lema eeh? do u miss him? can i tel him to cal you?
 
Naona umekosa visanga vya kumpaka lema eeh? do u miss him? can i tel him to cal you?


Muulize Lema kwanza kwamba alifanywa nini mjini Arusha hii wiki ya tatu sasa,kama ni mkweli atakwambia lakini kama si mkwelo hatasema jambo lolote.

Wenzenu wanaumia hapo walipo na wanaomba kila siku kisijulikane halafu we unaandika huu ujinga,au unaijua siri ukawa unafikisha ujumbe kwa Lema kwa njia nyingine?!
 
Usiwe kama Kagame wewe.

Unapopewa ushauri sio lazima uutumie bali tafakari.
Kama wewe ulivyoshauriwa kuwa ingekuwa vyema ukaoana na Flora Lyimo maana tabia zenu zinafanana sana. Nadhani ushauri huo umeuzingatia.
 
lukosi ya chadema waachie wenyewe
wanajua nani anafaa kuwa rais
hawajakuomba ushauri
usiwe kiherehere cha kuwasemea wengine
au tukuvishe gauni tujue moja kuwa wewe sio mwanaume???mwanaume hupaswi kusema sema hovyo yasiyokuhusu
 
Anafaa sana! Ila hustahili kutoa ushauri maana uwezo wako wa kukabiliana na changamoto ni mdogo sana.

Ulipoambiwa tu utarudishwa Tanzania ukaamua kurudisha kadi ya Chadema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Anafaa sana! Ila hustahili kutoa ushauri maana uwezo wako wa kukabiliana na changamoto ni mdogo sana.

Ulipoambiwa tu utarudishwa Tanzania ukaamua kurudisha kadi ya Chadema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nirudishwe Tanzania?

Kwani mimi kiroba?
 
lukosi ya chadema waachie wenyewe
wanajua nani anafaa kuwa rais
hawajakuomba ushauri
usiwe kiherehere cha kuwasemea wengine
au tukuvishe gauni tujue moja kuwa wewe sio mwanaume???mwanaume hupaswi kusema sema hovyo yasiyokuhusu

Usiwadharau mama zetu,nyinyi CDM nidhamu yenu mbaya sana,jamaa katoa ushauri lazima muuzingati lkn si lazima muukubali.ni kamanda ni mbunge wenu,kaleta sana maendeleo A.town,Maraisi wa USA ,CHINA alisababisha kwenda A.town,mikutano ya kimataifa imefanyika A.town.Wamiliki wa makampuni ya Utalii na Mahoteli anampenfa sana,ahadi zote kwa Wanamchi katimiza ni Mzalendo anamsimamo mkarimu mcheshi anahuruma mchagga na ni mtu wa watu,nafaa kuchukua mikoba ya MBOE.
 
Muulize Lema kwanza kwamba alifanywa nini mjini Arusha hii wiki ya tatu sasa,kama ni mkweli atakwambia lakini kama si mkwelo hatasema jambo lolote.

Wenzenu wanaumia hapo walipo na wanaomba kila siku kisijulikane halafu we unaandika huu ujinga,au unaijua siri ukawa unafikisha ujumbe kwa Lema kwa njia nyingine?!

kama huu nilioandika ni ujinga basi am happy mjinga kauelewa ujinga wangu maana ndiyo lugha anayoijua huyu mjinga mwenzangu,kama unayajua ya lema tapika tu,usipende kudandia hoja ukadhani mie Martin kadinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom