meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Hey gal put ya biggy a..ss on da floor!
Coz we gonna do it to ya!
We just gonna do it ya...!
By Flip mode squad!
Coz we gonna do it to ya!
We just gonna do it ya...!
By Flip mode squad!
Demu wa jamaa akikusumbua kisha akalegea wakati bwana ake hayupo huwa anakimbilia kusema "tumia hata kinga"ili azuie mimba kusudi aendelee kumdanganya jamaa yake kuwa hajawahi kupigisha nje ya ndoa!!!Chadema imeshawang'oa bikra Ccm subirini mimba mjifungue mauti yenu.Ndugu zanguni,
Baada ya kuona chama changu cha zamani chadema kinayumba kama mtumbwi kwenye dhoruba kali huku manahodha wake wakiwa wamaechanganyikiwa hawajui la kufanya , nimeona ni vyema nitoe ushauri kwa makamanda ili kunusuru haka kamtumbwi kao.
Mtu pekee anayeweza kukiongoza chama kikamanda na kisawasawa ni KAMANDA LEMA
Lema ni kamanda mtiifu sana na mwenye cv nzuri ndani ya Chadema
Nawaomba makamanda mumuunge mkono Lema ili aweze kuwavusha hapa mlipo
Ni wakati wa kujiunga na TEAM LEMA ...
![]()
JITAMBUE!
Usiwe kama Kagame wewe.Acha bangi, umeombwa ushauri!
Naona umekosa visanga vya kumpaka lema eeh? do u miss him? can i tel him to cal you?
Kama wewe ulivyoshauriwa kuwa ingekuwa vyema ukaoana na Flora Lyimo maana tabia zenu zinafanana sana. Nadhani ushauri huo umeuzingatia.Usiwe kama Kagame wewe.
Unapopewa ushauri sio lazima uutumie bali tafakari.
Ungekuwa jirani lazima ningekumwigamba tu...Kama wewe ulivyoshauriwa kuwa ingekuwa vyema ukaoana na Flora Lyimo maana tabia zenu zinafanana sana. Nadhani ushauri huo umeuzingatia.
Nirudishwe Tanzania?Anafaa sana! Ila hustahili kutoa ushauri maana uwezo wako wa kukabiliana na changamoto ni mdogo sana.
Ulipoambiwa tu utarudishwa Tanzania ukaamua kurudisha kadi ya Chadema.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hiyo ni dharau kwa mbunge wako Mheshimiwa Lemawewe uliyeleta ili wazo akili zako ni mbumbumbu
lukosi ya chadema waachie wenyewe
wanajua nani anafaa kuwa rais
hawajakuomba ushauri
usiwe kiherehere cha kuwasemea wengine
au tukuvishe gauni tujue moja kuwa wewe sio mwanaume???mwanaume hupaswi kusema sema hovyo yasiyokuhusu
Muulize Lema kwanza kwamba alifanywa nini mjini Arusha hii wiki ya tatu sasa,kama ni mkweli atakwambia lakini kama si mkwelo hatasema jambo lolote.
Wenzenu wanaumia hapo walipo na wanaomba kila siku kisijulikane halafu we unaandika huu ujinga,au unaijua siri ukawa unafikisha ujumbe kwa Lema kwa njia nyingine?!