Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,687
- 272,554
asante , endelea kuandika kila unachokifikiria bila hata kuchuja , malengo yako yanafahamika , ila bila shaka mkono wa BAN ndefu unakunyemelea kwa kasi ya ajabu !
mwenyekiti wa ccm ajaye lazima atoke kwenye genge la wauza sembe
Thread zako zote ni za kuchochea chuki na ubaguzi dhidi ya chadema na kwa bahati mbaya unaongeza na udini na ukabila ndani yake... Wewe ni manafiki na adui mkubwa wa Ukristo na adui mkubwa wa Wachagga... Kila unachoaandika lazima kiwe katika triange hiyo huweze hama hapoo... MDINI, MKABILA NA MZUSHI NA MZANDIKI DHIDI YA CHADEMA... Jifunze siasa zenye stahha huwezi kuijenga CCM kwa kuibomoa CHADEMA (Refer Nape Nnauye) na huwezi kuwa na taifa lenye dini moja na unajenga chuki kwa kuangalia kila kitu kwa miwani ya ukanda na ukabila kabila la mtuu... Wote sisi ni watanzania na tuna haki ya kufurahia keki ya taifa bila kuaangaliwa kwa jicho la ukabilaa..... Tuache unafiki ukienda Halmashauri ya Shinyanga utawakuta Wasukuma wengi kila Idara je huu ni ukabila. ukienda Mtwara utakuta watumishi wengi wa halmashauri ni wenyeji wenyewe je huu ni ukabulaa... ukiingia hata ndani ya CCM utakuta viongozi wengi wana undgu mfano Rais Amaan Karume ni mtoto wa Abeid Karume, Nape NNAUYE ni mtoto wa Moses Nnauye, Vita Kawawa ni mtoto wa Rashid Kawawa, Makongoro Nyerere ni mtoto wa Mwl Julius Nyerere, Riziwan Kikwete ni mtoto wa Jakaya Kikwete, Husein Mwinyi ni mtoto wa Ali Hassan Mwinyi, n.k... Je CCM ni chama cha kinduguu??!!!
CCM ni chama kikubwa sanaa barani Afrika na ni mhimili wa siasa hapa Tanzania lakini baadhi ya wanachama wake na viongozi wamekuwa ni wanafiki na wapotoshaji wakubwa wa maana ya demokrasia ya vyama vingi, badala ya kuvilea na kuvijenga vyama vya upinzani CCM imekuwa adui namba moja wa vyama hivyooo.. badala ya kusimamia ukweli na nguvu za hoja viongozi wa CCM wamekuwa vinara wa propaganda na unafikii, ukabila na udinii.. Haya yanaivunjia heshima Chama cha Mapinduzii..
HAMY-D WE NI MPIGA PROPAGANDA NA MNAFIKI NA SIKU HIZI CHUKII ZITAKALETA UMWAGAJII DAMU ZA WATOTO WETU NA WAKINA MAMA WASIOKUWA NA HATIA HUKUMU YAKO NI KUPIGWA RISASI YA KICHWAAA MBELE YA KADAMNASI BAADA YA SWALAT JUMAAA, AU KUCHINJWA KAMA KUKU..... KAMA WENZETU CHINA WANAWEZA KUTOA HUKUMU ZA AINA HII WHY SISI TUSHINDWEE???!!! MALIPO YA DHAMBII HIII NI HAPAHAPA DUNIA
Endelea kuishi kwa fununu mpaka utaja stuka mmekuwa chama cha upinzani tena kisicho na wabunge kabisa! Vipi madiwani 8 mliowatimua imekuwaje bosi wenu Nape awarejeshe kazini? Vipi chama chako kimeshindwa kuwafukuza mafisadi na sasa kimebariki biashara ya madawa yakulevya kwa wanachama wenu kisa hamna pesa ya kuhonga wapiga kura 2015? Hahaha chama hakina mkubwa, wote mna mindevu kama kambare wa Mto Luaha
Mkuu,
Kama ambavyo nimesema, wewe ni muongo muongo mno!
Katika mfumo wa elimu wa hapa nchini, hakuna mtindo wa kufaulu kidato cha sita, ni vyema ukawa makini ukiwa JF kuliko hata unapokuwa unafanya kazi zako za ufundi mchundo, maana humu JF ina hitajika akili nyingi, ila kazi zako zinahitaji zaidi nguvu.
Kuhusu majina, nadhani gazeti la jamhuri limejijengea sifa kubwa hapa nchini kwa kutoa habari za uhakika na zilizo fanyiwa utafiti wa kina, sio kama kijarida cha CHADEMA (Tanzania Daima), hivyo ile orodha ya watu 250 ipo sawa tu.
WanaJF!
Ni wazi kuwa wananchi na hasa wapenzi wa CHADEMA wangependa kujua ni nani kati ya viongozi waliopo mwenye nafasi kubwa ya kuongoza chama hicho kwenye nafasi ya uenyekiti katika ngazi ya taifa.
Ni ukweli kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama kikubwa cha siasa nchini, hivyo kwa hadhi hiyo uchaguzi wake ni lazima uwe na hamasa kulinganisha na chaguzi za vyama vingine, hivyo ni haki kwa wananchi kuwa na shahuku na uchaguzi wa CHADEMA.
Katika penya penya zangu na uchunguzi mkubwa nilioufanya kwenye chama hicho, nimegundua kuwa ndani ya CHADEMA kwa sasa ni bwana Godbless Lema ndiye mwenye nguvu na nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Aidha, ndugu Lema kwa sasa anapigiwa 'promo' na mwenyekiti wa sasa, bwana Mbowe, kwa kuhakikisha ana ambatana nae kwenye mikutano mikubwa kwa midogo ya CHADEMA, na pia bwana Mbowe bila kificho uwa ana msifu Lema kuwa ndiye 'jembe' la CHADEMA.
Lakini vilele ningependa ieleweke kwamba, katika mchakato wa kumpata mwenyekiti au kiongozi mwingine yeyote ndani ya CHADEMA kwenye ngazi ya taifa, vigezo vifuatavyo sio vya muhimu sana;
i) ELIMU, angalau mwombaji awe na elimu ya kidato cha nne, nadhani hii bwana Lema atamudu.
ii) UZOEFU, ni CHADEMA pekee ambayo utoa nafasi kwa mtu kuwa kiongozi pasipo kukitumikia chama kwa kipindi cha angalau miaka mitatu.
iii) MAADILI, hili halizingatiwi kabisa, na imeonekana likiwekwa kama kigezo cha kupata kiongozi ndani ya CHADEMA ni wengi watakosa nafasi.
Hivyo basi, ni wazi kuwa kama sifa tajwa hapo juu zimepuuzwa na CHADEMA katika mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho, ni ukweli usio pingika kuwa Godbless Lema ana andaliwa kuirithi mikoba ya Mbowe.
Teh teh teh, sina kazi mjini?, nategemea CCM ili niishi?, kwani babu yako Dr Slaa ana tegemea nini mjini hapa ili afanye zile trip zake za chooni?, kama ana kazi nyingine nje ya CHADEMA iweke hapa tuijue.
Haiko sawa bwana, sijaona usawa wa kiimani kwenye ile orodha.Mkuu,
Kama ambavyo nimesema, wewe ni muongo muongo mno!
Katika mfumo wa elimu wa hapa nchini, hakuna mtindo wa kufaulu kidato cha sita, ni vyema ukawa makini ukiwa JF kuliko hata unapokuwa unafanya kazi zako za ufundi mchundo, maana humu JF ina hitajika akili nyingi, ila kazi zako zinahitaji zaidi nguvu.
Kuhusu majina, nadhani gazeti la jamhuri limejijengea sifa kubwa hapa nchini kwa kutoa habari za uhakika na zilizo fanyiwa utafiti wa kina, sio kama kijarida cha CHADEMA (Tanzania Daima), hivyo ile orodha ya watu 250 ipo sawa tu.
WanaJF!
Ni wazi kuwa wananchi na hasa wapenzi wa CHADEMA wangependa kujua ni nani kati ya viongozi waliopo mwenye nafasi kubwa ya kuongoza chama hicho kwenye nafasi ya uenyekiti katika ngazi ya taifa.
Ni ukweli kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama kikubwa cha siasa nchini, hivyo kwa hadhi hiyo uchaguzi wake ni lazima uwe na hamasa kulinganisha na chaguzi za vyama vingine, hivyo ni haki kwa wananchi kuwa na shahuku na uchaguzi wa CHADEMA.
Katika penya penya zangu na uchunguzi mkubwa nilioufanya kwenye chama hicho, nimegundua kuwa ndani ya CHADEMA kwa sasa ni bwana Godbless Lema ndiye mwenye nguvu na nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Aidha, ndugu Lema kwa sasa anapigiwa 'promo' na mwenyekiti wa sasa, bwana Mbowe, kwa kuhakikisha ana ambatana nae kwenye mikutano mikubwa kwa midogo ya CHADEMA, na pia bwana Mbowe bila kificho uwa ana msifu Lema kuwa ndiye 'jembe' la CHADEMA.
Lakini vilele ningependa ieleweke kwamba, katika mchakato wa kumpata mwenyekiti au kiongozi mwingine yeyote ndani ya CHADEMA kwenye ngazi ya taifa, vigezo vifuatavyo sio vya muhimu sana;
i) ELIMU, angalau mwombaji awe na elimu ya kidato cha nne, nadhani hii bwana Lema atamudu.
ii) UZOEFU, ni CHADEMA pekee ambayo utoa nafasi kwa mtu kuwa kiongozi pasipo kukitumikia chama kwa kipindi cha angalau miaka mitatu.
iii) MAADILI, hili halizingatiwi kabisa, na imeonekana likiwekwa kama kigezo cha kupata kiongozi ndani ya CHADEMA ni wengi watakosa nafasi.
Hivyo basi, ni wazi kuwa kama sifa tajwa hapo juu zimepuuzwa na CHADEMA katika mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho, ni ukweli usio pingika kuwa Godbless Lema ana andaliwa kuirithi mikoba ya Mbowe.
Hamada ni chizi kama Lukosi, unaposema muda kujadiliana naye mambo ya man tiki..........Haiko sawa bwana, sijaona usawa wa kiimani kwenye ile orodha.
Nikiona Jina lako tu Nacheka,hata kabla sijasoma kilichomo.
Mbona wewe sikuzote unaamka na huyu unalala na yule.
acha kuhukumu wewe,huna uwezo huo,ni Mungu pekee mwenye uwezo huo.Chadema ni chama cha wachaga hilo liko wazi kabisa na ni -------- tu asiyejua hilo.Wachaga kwa namna yoyote wanabebana na kuteteana ndani ya chadema,wanajitahidi sana kuwaundia mazengwe watu ambao siyo wachaga mara tu wanapovuma mf zitto kabwe.kwa hiyo mimii sishangai lema kumrithi mbowe ni sera yao ya siri,hii tabia hakika itakirudisha nyuma sana hiko chama na hata kufa kwa sababu watu wameanza kushituka na kuachana nacho,wachache wananufaika na chama huku vyasaka wakitumika kama punda eti makamanda! Uharo mtupu
hahaa mkuu hivi ponda alipigwa risasi kule moro na mwenyekiti wa chadema?Hakuna cha kuangaika na CHADEMA, mimi kama mpenda amani sina budi kufatilia chaguzi za ndani za CHADEMA kwa lengo la kujua ni nani atakae kuwa mwenyekiti, huyu wa sasa zaidi ya kusababisha mauaji na uvunjifu wa amani kwa kiasi kikubwa hapa nchi, hakuna la maana alilofanya. Je, mkimpa Lema itakuwaje?
Urithi ni jambo zuri na tunashauriwa kuandika WILL kabla ya mtu kung'atuka ili kuondoa utata unaoweza kujitokeza hapo baadaye.Kama yapo maandalizi kama hayo ni vizuri,kuliko ile ya mtu kuondoka ghafla pasipo mrithi hiyo ni hatari sana kwa mustakabali wa jambo lolote.Nampa BIG UP Mh.Mbowe kwa wazo zuri la kuandaa mtu wa kubeba mikoba yake.WanaJF!
Ni wazi kuwa wananchi na hasa wapenzi wa CHADEMA wangependa kujua ni nani kati ya viongozi waliopo mwenye nafasi kubwa ya kuongoza chama hicho kwenye nafasi ya uenyekiti katika ngazi ya taifa.
Ni ukweli kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama kikubwa cha siasa nchini, hivyo kwa hadhi hiyo uchaguzi wake ni lazima uwe na hamasa kulinganisha na chaguzi za vyama vingine, hivyo ni haki kwa wananchi kuwa na shahuku na uchaguzi wa CHADEMA.
Katika penya penya zangu na uchunguzi mkubwa nilioufanya kwenye chama hicho, nimegundua kuwa ndani ya CHADEMA kwa sasa ni bwana Godbless Lema ndiye mwenye nguvu na nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Aidha, ndugu Lema kwa sasa anapigiwa 'promo' na mwenyekiti wa sasa, bwana Mbowe, kwa kuhakikisha ana ambatana nae kwenye mikutano mikubwa kwa midogo ya CHADEMA, na pia bwana Mbowe bila kificho uwa ana msifu Lema kuwa ndiye 'jembe' la CHADEMA.
Lakini vilele ningependa ieleweke kwamba, katika mchakato wa kumpata mwenyekiti au kiongozi mwingine yeyote ndani ya CHADEMA kwenye ngazi ya taifa, vigezo vifuatavyo sio vya muhimu sana;
i) ELIMU, angalau mwombaji awe na elimu ya kidato cha nne, nadhani hii bwana Lema atamudu.
ii) UZOEFU, ni CHADEMA pekee ambayo utoa nafasi kwa mtu kuwa kiongozi pasipo kukitumikia chama kwa kipindi cha angalau miaka mitatu.
iii) MAADILI, hili halizingatiwi kabisa, na imeonekana likiwekwa kama kigezo cha kupata kiongozi ndani ya CHADEMA ni wengi watakosa nafasi.
Hivyo basi, ni wazi kuwa kama sifa tajwa hapo juu zimepuuzwa na CHADEMA katika mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho, ni ukweli usio pingika kuwa Godbless Lema ana andaliwa kuirithi mikoba ya Mbowe.