Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

Lowassa ni mwadilifu ndio ndo mana hata muandika mada unampigia chapuo-ulimfagiliaga hadi kule mwanza ostadh Abdallah

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Shabiki wangu umeshafika na mashairi yako?

Karibu waite nawenzio, ninawapenda sana nyie mafansi wangu,

Vile lile bandiko lenu mnalotembea nalo kila kona sasahivi limechuja? Naona leo hujaanza nalo,

Karibu mpambe wangu a.k.a kipemba

You're not and you'll never be serious.

Kwako kumlaumu mama yako kwa kutokufanya mapenzi na Mwl Nyerere ili uzaliwe mtoto wa Mwl. Nyerere wa ukweli unaita mashairi.

Kwako kufuatilia kila kinachofanywa na familia ya Mwl. Nyerere ili uwe updated katika uwongo wako kama wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere unaita ni mashairi.

Kwako kulichafua jina la Mwl. Nyerere katika taswira ya jamii kuwa alizini na mama yako na ukazaliwa unaita ni kipemba.

Ninatumaini umewatapeli watu wengi sana huko mitaani kwa kutumia influence ya Mwl. Nyerere kama baba yako mzazi wakati ukweli Mwl. Nyerere ni baba yako wa kufikirika katika ndoto za punguani na alinacha.
 
Wewe umeshakuwa kero hapa Jf,Kila siku Chadema tu huna jipya mkuu,andika vitu vya maendeleo,huo ni ushauri,take it or leave it
 
Vipi kijana wa hayati mwl Nyerere upo?

Nadhani kwa jinsi CHADEMA wanavyo recruit viongozi wao hata wewe unaonyesha una sifa za kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA.

Kuna hii ishu ya kusimamia uongo mpaka uonekane ukweli; nadhani kwa jinsi ulipotosha watu humu kuwa wewe ni kijana wa hayati mwl Nyerere na baadhi wakaamini, basi wewe ni tunu ndani ya CHADEMA.
Teh teh teh teh, tunu ndani ya CHADEMA kwa kamba.
 
"Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa."

Hivi haya unayaandika baada ya kuvuta bange au kubwia Sembe??? Uchaguzi wa CDM unakhusu sana sio??? Kwa taarifa yako CDM ina utaratibu wake wa kupata viongozi na wala haiafutai fununu zako, hizi fununu peleka huko. Kwani wewe umechukua Cheo Cha Sheikh yahaya?
 
Wewe umeshakuwa kero hapa Jf,Kila siku Chadema tu huna jipya mkuu,andika vitu vya maendeleo,huo ni ushauri,take it or leave it

Kwanini wewe usiandike vitu vya maendeleo?, kwangu mimi it sounds kujadili viongozi, kama kwako wewe sio vitu vya maendeleo, basi weka vya kwako hapa na mimi nakuahidi kuvijadili.
 
"Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa."

Hivi haya unayaandika baada ya kuvuta bange au kubwia Sembe??? Uchaguzi wa CDM unakhusu sana sio??? Kwa taarifa yako CDM ina utaratibu wake wa kupata viongozi na wala haiafutai fununu zako, hizi fununu peleka huko. Kwani wewe umechukua Cheo Cha Sheikh yahaya?

Wewe kwani ni nani ndani ya CHADEMA?
 
Teh teh teh teh, tunu ndani ya Chadema kwa kamba.

Mkuu Ritz,

Kijana amejidhatiti kupotosha umma kwa nguvu zote ili kutekeleza sera za CHADEMA za kupika pika habari ili kujijenga kiumaarufu hasa kwenye siasa.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kati ya mimi na wewe nani ni muongo?

Mimi nasema majina yale ni ya FAULU kujiunga kidato cha sita,

Wewe unakuja na ngano kuwa kwamfumo wenu nyinyi ccm kidato tano hawafaulu kwenda kidato cha sita,

Mbaya zaidi unaleta UONGO mwingine usio na mashiko, Chadema inachombo cha habari?

Hebu nitajie chombo cha habari cha chadema iwe radio, gazeti, tv, nk na uniamie usajili wa umiliki huo ulikuwa lini na leta Namba za malipo ya kodi (TIN Nos)

Ukizoea uongo huoni tabu kusema lolote,

Tatizo huna kazi mjini hapa unategemea ccm ili uishi ndiomana akili ishaganda kiccm ccm tu

Teh teh teh, sina kazi mjini?, nategemea CCM ili niishi?, kwani babu yako Dr Slaa ana tegemea nini mjini hapa ili afanye zile trip zake za chooni?, kama ana kazi nyingine nje ya CHADEMA iweke hapa tuijue.
 
You're not and you'll never be serious.

Kwako kumlaumu mama yako kwa kutokufanya mapenzi na Mwl Nyerere ili uzaliwe mtoto wa Mwl. Nyerere wa ukweli unaita mashairi.

Kwako kufuatilia kila kinachofanywa na familia ya Mwl. Nyerere ili uwe updated katika uwongo wako kama wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere unaita ni mashairi.

Kwako kulichafua jina la Mwl. Nyerere katika taswira ya jamii kuwa alizini na mama yako na ukazaliwa unaita ni kipemba.

Ninatumaini umewatapeli watu wengi sana huko mitaani kwa kutumia influence ya Mwl. Nyerere kama baba yako mzazi wakati ukweli Mwl. Nyerere ni baba yako wa kufikirika katika ndoto za punguani na alinacha.
Safi sana shabiki wangu, natambua tatizo mlilonalo na ninawathamini vilevile mlivyo fansi wangu mwehu!
 
Anza kuona aibu kupost thread utumbo humu JF kila uchao. Umelala jana na ulichoota ndotoni ndicho umeleta hapa asubuhi yote hii. Kila uingiapo humu unatetemeka na huachi kuandika CHADEMA.

CCM hii unayoitetea, iliyochoka inajifia soon!

Tukiongelea ukanda CHADEMA mnakuwa wakali?

Kama hampendi tuongelee ukanda, hakikisheni mnajirekebisha na mpige marufuku vitendo vya aina hiyo, tena wewe wa Arusha ndio wale wale.
 
Sifa za kiongoz mzuri ni elimu hata kwa kughushi vyeti.
 
Ndg Yericko Achana na mtu wa ku-harm. Ningekushauli usichangie tena uzi huu usio na tija kwa maendeleo yaetu na taifa hili. Kuna mambo mengi ya kufanya. Asante.
 
Ndg Yericko Achana na mtu wa ku-harm. Ningekushauli usichangie tena uzi huu usio na tija kwa maendeleo yaetu na taifa hili. Kuna mambo mengi ya kufanya. Asante.

Ushauri wako umepuuzwa!
 
Mbona mimi nimezaliwa Kilimanjaro na ni Mrangi,mbona ccm mnawachukia sana wachaga?
 
Wacha hizo!
Mbona Mzee wa Miluzi a.k.a Sugu ndiye anafaa namba hiyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom