Funga zipu! Hata Mkeo ni mzuri, sema tu umemzoea

Funga zipu! Hata Mkeo ni mzuri, sema tu umemzoea

Nahisi kinachofanya wanaume wawe wanachepuka ni kuzidiwa ( kuwa na nguvu nyingi kupita kiasi ) na nguvu nyingi za kiume ambazo mwanamke mmoja hawezi kuzimudu na kumtolesheleza. Nguvu za kiume ambazo wanaume wanazo , mwanamke mmoja hana uwezo wa kuzimudu
 
Nahisi kinachofanya wanaume wawe wanachepuka ni kuzidiwa ( kuwa na nguvu nyingi kupita kiasi ) na nguvu nyingi za kiume ambazo mwanamke mmoja hawezi kuzimudu na kumtolesheleza. Nguvu za kiume ambazo wanaume wanazo , mwanamke mmoja hana uwezo wa kuzimudu
mwanamke huyuhuyu ambaye anaweza kulala na wanaume watano kwa siku,mwanamke huyuhuyu anayepitisha mtoto mwenye kilo mbili na ushee alafu wewe unakuja kusema mwanamke hawezi kumhimili mwanaume mmoja. Acha masikhara shehe
 
Nahisi kinachofanya wanaume wawe wanachepuka ni kuzidiwa ( kuwa na nguvu nyingi kupita kiasi ) na nguvu nyingi za kiume ambazo mwanamke mmoja hawezi kuzimudu na kumtolesheleza. Nguvu za kiume ambazo wanaume wanazo , mwanamke mmoja hana uwezo wa kuzimudu
Mbona hadi wasio na nguvu za kiume wanachepuka?
Mtu anamnywea mchepuko viagra.

Mleta mada yupo sahihi ni tatizo lao la kisaikolojia.
 
Nahisi kinachofanya wanaume wawe wanachepuka ni kuzidiwa ( kuwa na nguvu nyingi kupita kiasi ) na nguvu nyingi za kiume ambazo mwanamke mmoja hawezi kuzimudu na kumtolesheleza. Nguvu za kiume ambazo wanaume wanazo , mwanamke mmoja hana uwezo wa kuzimudu
Hii nayo ni dhana tu, si ushinde siku nzima na mke wako uone kama hizo nguvu utakuwa nazo!?
 
Acha utani mkuu, kwa sasa natamani mwanamke mrefu mwembamba... Unajua kwanini?

Nataka wakati namnyandua asilalamike dudu inamuumiza alafu wakati nainyandua ziwa liwe mdomoni.... Hawa wanawake wafupi ukitaka ziwa liwe mdomoni huku mashine ikiwa kazini unaweza kuvunja mtoto wa mtu mgongo au wewe kuvunjika.
 
Kinachofanya wanaume tuwe malaya ni Saikolojia tu hakuna kingine ila wanawake ni wale wale

We umesahau siku ya kwanza kumtokea mke wako ni kitu gani kilikuvutia ? Kwani hiko kitu hakipo
Mazoea tu yanakufanya umchukulie poa wife wako

Pamoja na kwamba siungi mkono Umalaya
ILA kwa wale walisoma Biologia vizuri wanajua kuwa, kuna watu wapo very active na wengine wapo very low
Hayo yakikukuta utakuja hapa kuandika vingine. Na ndio sababu wenzetu Waislam wakaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja ili kuepusha kuchepuka!
 
Acha utani mkuu, kwa sasa natamani mwanamke mrefu mwembamba... Unajua kwanini?

Nataka wakati namnyandua asilalamike dudu inamuumiza alafu wakati nainyandua ziwa liwe mdomoni.... Hawa wanawake wafupi ukitaka ziwa liwe mdomoni huku mashine ikiwa kazini unaweza kuvunja mtoto wa mtu mgongo au wewe kuvunjika.
Hhhh unataka ugomvi na wanawake wafupi
 
Pamoja na kwamba siungi mkono Umalaya
ILA kwa wale walisoma Biologia vizuri wanajua kuwa, kuna watu wapo very active na wengine wapo very low
Hayo yakikukuta utakuja hapa kuandika vingine. Na ndio sababu wenzetu Waislam wakaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja ili kuepusha kuchepuka!

Ngoja nifanye tafiti kuhusu unalosema
 
Back
Top Bottom