Funga ya Novena yaiweka CCM mahali pagumu

Funga ya Novena yaiweka CCM mahali pagumu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,818
Reaction score
62,030
Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho.
Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena.
Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia.

Huu ni ujumbe mzito kwa samia na wateule wake kuwa kuna watu sasa wameamua kutumia SPIRITUAL STRUGGLE kudai haki nchini. Baada ya serikali ya CCM kujawa kiburi kwa kuwa ina majeshi, mahakama inazitumia itakavyo na bunge liko mkononi mwake, watu sasa wameamua kuifanya Struggle ya kudai haki iwe ya KIROHO.

Na kama mnavyojua Wakiristu hasa Wakatoliki ndani ya mfumo ma serikali wako wengi, nao nila shaka wapo mfungoni kuombea HAKI na AMANI. Hawa wanawekwa kwatika wakati mgumu sana kwa sababu NOVENA ni ibada wanayoiheshimu sana. Je watatiii kwa moyo mmoja kufanya figisu kudhulumu haki za wananchi kuchagua viongozi wawatakao ili tu kumnufaisha Samia na baadhi ya watu?.

Bila shaka mioyo ya wakatoliki wengi ndani ya CCM na mfumo watakuwa hawana amani mioyoni mwao, watakuwa hawans raha kujikuta wanafunga NOVENA ya kudai haki wakati mazingira yanawalazimisha kufanya dhulma dhidi ya wananchi.

Ni kweli CCM inaweza kupuuza NOVENA na sauti zozote za haki, maana wana majeshi ya kuwasimika katika nafasi zozote wazitakazo. Lakini Je mioyo ya watu wanaowategemea walinde dhulma zao iko thabiti kiasi gani kuwezesha hilo wakati watu hao wanajihisi guilty consciousness kutokana na funga hii ya NOVENA.

Ndiyo maana tunasema, dhulma za viongozi wachache wa nchi hii zinavunja fabric na harmonoy ya nchi hii socially, politically na hata spiritually.

Ni wakati muafaka sasa watu wenye hekima wakamwambia Samia kuwa tunapoenda tunakwenda kuvuruga taifa. Hivyo basi hana budi kufanya yafuatayo.

1. Fanya reforms, ili tuingie ktk uchaguzi huru na wa haki

2. Futa kesi ya uongo dhidi ya Lissu, maana hii kesi inalazimisha majaji na mahakimu wasitende haki. Kumbuka hawa watu wanamwamini Mungu. Msiwape mzigo mzito wa dhambi hawa watu ili tu kufanikishs malengo yenu ovu yasiyo ya haki.

3. Anza mchakato wa kuliponya Taifa baada ya damu zisizo na hatia zilizomwagwa kutokana na vitendo vya utekaji. Damu zisizo na hatia zinalia, zinataka haki!
 
Ndugu ameandika vizuri sana na umetoa ushauri vizuri ... ushauri kama huu walishautoa viongozi wa dini na baadhi ya watu wenye kupenda haki na Taifa hili.

.. Shida hakuna anaesikiliza ushauri wowote ule .,wameziba masikio na macho madaraka yamewalevya kiasi cha kumdharau hata muumba .. sisi wengine tumebaki kuwaangalua tu ila mwisho wao ni mbaya sana .
 
Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho.
Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena.
Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia.

Huu ni ujumbe mzito kwa samia na wateule wake kuwa kuna watu sasa wameamua kutumia SPIRITUAL STRUGGLE kudai haki nchini. Baada ya serikali ya CCM kujawa kiburi kwa kuwa ina majeshi, mahakama inazitumia itakavyo na bunge liko mkononi mwake, watu sasa wameamua kuifanya Struggle ya kudai haki iwe ya KIROHO.

Na kama mnavyojua Wakiristu hasa Wakatoliki ndani ya mfumo ma serikali wako wengi, nao nila shaka wapo mfungoni kuombea HAKI na AMANI. Hawa wanawekwa kwatika wakati mgumu sana kwa sababu NOVENA ni ibada wanayoiheshimu sana. Je watatiii kwa moyo mmoja kufanya figisu kudhulumu haki za wananchi kuchagua viongozi wawatakao ili tu kumnufaisha Samia na baadhi ya watu?.

Bila shaka mioyo ya wakatoliki wengi ndani ya CCM na mfumo watakuwa hawana amani mioyoni mwao, watakuwa hawans raha kujikuta wanafunga NOVENA ya kudai haki wakati mazingira yanawalazimisha kufanya dhulma dhidi ya wananchi.

Ni kweli CCM inaweza kupuuza NOVENA na sauti zozote za haki, maana wana majeshi ya kuwasimika katika nafasi zozote wazitakazo. Lakini Je mioyo ya watu wanaowategemea walinde dhulma zao iko thabiti kiasi gani kuwezesha hilo wakati watu hao wanajihisi guilty consciousness kutokana na funga hii ya NOVENA.

Ndiyo maana tunasema, dhulma za viongozi wachache wa nchi hii zinavunja fabric na harmonoy ya nchi hii socially, politically na hata spiritually.

Ni wakati muafaka sasa watu wenye hekima wakamwambia Samia kuwa tunapoenda tunakwenda kuvuruga taifa. Hivyo basi hana budi kufanya yafuatayo.

1. Fanya reforms, ili tuingie ktk uchaguzi huru na wa haki

2. Futa kesi ya uongo dhidi ya Lissu, maana hii kesi inalazimisha majaji na mahakimu wasitende haki. Kumbuka hawa watu wanamwamini Mungu. Msiwape mzigo mzito wa dhambi hawa watu ili tu kufanikishs malengo yenu ovu yasiyo ya haki.

3. Anza mchakato wa kuliponya Taifa baada ya damu zisizo na hatia zilizomwagwa kutokana na vitendo vya utekaji. Damu zisizo na hatia zinalia, zinataka haki!
Tutapukutika
 
Na bado. Mpaka mlie hadharani! Hakuna cha Novena wala nini? Nani alikwambia Novena iliwahi kusaidia chochote wapi nchi gani? Pelekeni Novena Congo DR kama kweli inaleta amani. Nchi Ina amani eti Novena! PUMBAVU!!
 
Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho.
Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena.
Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia.

Huu ni ujumbe mzito kwa samia na wateule wake kuwa kuna watu sasa wameamua kutumia SPIRITUAL STRUGGLE kudai haki nchini. Baada ya serikali ya CCM kujawa kiburi kwa kuwa ina majeshi, mahakama inazitumia itakavyo na bunge liko mkononi mwake, watu sasa wameamua kuifanya Struggle ya kudai haki iwe ya KIROHO.

Na kama mnavyojua Wakiristu hasa Wakatoliki ndani ya mfumo ma serikali wako wengi, nao nila shaka wapo mfungoni kuombea HAKI na AMANI. Hawa wanawekwa kwatika wakati mgumu sana kwa sababu NOVENA ni ibada wanayoiheshimu sana. Je watatiii kwa moyo mmoja kufanya figisu kudhulumu haki za wananchi kuchagua viongozi wawatakao ili tu kumnufaisha Samia na baadhi ya watu?.

Bila shaka mioyo ya wakatoliki wengi ndani ya CCM na mfumo watakuwa hawana amani mioyoni mwao, watakuwa hawans raha kujikuta wanafunga NOVENA ya kudai haki wakati mazingira yanawalazimisha kufanya dhulma dhidi ya wananchi.

Ni kweli CCM inaweza kupuuza NOVENA na sauti zozote za haki, maana wana majeshi ya kuwasimika katika nafasi zozote wazitakazo. Lakini Je mioyo ya watu wanaowategemea walinde dhulma zao iko thabiti kiasi gani kuwezesha hilo wakati watu hao wanajihisi guilty consciousness kutokana na funga hii ya NOVENA.

Ndiyo maana tunasema, dhulma za viongozi wachache wa nchi hii zinavunja fabric na harmonoy ya nchi hii socially, politically na hata spiritually.

Ni wakati muafaka sasa watu wenye hekima wakamwambia Samia kuwa tunapoenda tunakwenda kuvuruga taifa. Hivyo basi hana budi kufanya yafuatayo.

1. Fanya reforms, ili tuingie ktk uchaguzi huru na wa haki

2. Futa kesi ya uongo dhidi ya Lissu, maana hii kesi inalazimisha majaji na mahakimu wasitende haki. Kumbuka hawa watu wanamwamini Mungu. Msiwape mzigo mzito wa dhambi hawa watu ili tu kufanikishs malengo yenu ovu yasiyo ya haki.

3. Anza mchakato wa kuliponya Taifa baada ya damu zisizo na hatia zilizomwagwa kutokana na vitendo vya utekaji. Damu zisizo na hatia zinalia, zinataka haki!
Watu wakishamlilia Mungu lazima majibu yatoke.
 
Mnufaika wa udhalimu umepanic na kupagawa na jazba 🤣 🤣 🤣 🤣
Mimi nina reality ambayo kwa akili zako HUWEZI kuielewa. Imeandikwa kwenye Biblia (ila sijui kitabu gani wala mstari gani), aliyeshiba haitaji chakula, bali mwenye njaa! Congo DR wanaihitaji Novena sana kuliko Tanzania. Kwanini hawaipeleki huko na kuwaacha watu wanauana kama wanyama mwitu? Au huko Novena imegoma? Ahahahahaha!!
 
Ni dhahiri CCM sasa imewekwa katika mahakama ya kiroho.
Wakiristu Tanzania wako katika funga ya Novena.
Na sababu ya funga hii ni kuombea haki na amani. Mara nyingi imezoeleka tu viongozi wa dini wakiomba basi wanaombea amani tu, ila safari hii wanaombea haki pia.

Huu ni ujumbe mzito kwa samia na wateule wake kuwa kuna watu sasa wameamua kutumia SPIRITUAL STRUGGLE kudai haki nchini. Baada ya serikali ya CCM kujawa kiburi kwa kuwa ina majeshi, mahakama inazitumia itakavyo na bunge liko mkononi mwake, watu sasa wameamua kuifanya Struggle ya kudai haki iwe ya KIROHO.

Na kama mnavyojua Wakiristu hasa Wakatoliki ndani ya mfumo ma serikali wako wengi, nao nila shaka wapo mfungoni kuombea HAKI na AMANI. Hawa wanawekwa kwatika wakati mgumu sana kwa sababu NOVENA ni ibada wanayoiheshimu sana. Je watatiii kwa moyo mmoja kufanya figisu kudhulumu haki za wananchi kuchagua viongozi wawatakao ili tu kumnufaisha Samia na baadhi ya watu?.

Bila shaka mioyo ya wakatoliki wengi ndani ya CCM na mfumo watakuwa hawana amani mioyoni mwao, watakuwa hawans raha kujikuta wanafunga NOVENA ya kudai haki wakati mazingira yanawalazimisha kufanya dhulma dhidi ya wananchi.

Ni kweli CCM inaweza kupuuza NOVENA na sauti zozote za haki, maana wana majeshi ya kuwasimika katika nafasi zozote wazitakazo. Lakini Je mioyo ya watu wanaowategemea walinde dhulma zao iko thabiti kiasi gani kuwezesha hilo wakati watu hao wanajihisi guilty consciousness kutokana na funga hii ya NOVENA.

Ndiyo maana tunasema, dhulma za viongozi wachache wa nchi hii zinavunja fabric na harmonoy ya nchi hii socially, politically na hata spiritually.

Ni wakati muafaka sasa watu wenye hekima wakamwambia Samia kuwa tunapoenda tunakwenda kuvuruga taifa. Hivyo basi hana budi kufanya yafuatayo.

1. Fanya reforms, ili tuingie ktk uchaguzi huru na wa haki

2. Futa kesi ya uongo dhidi ya Lissu, maana hii kesi inalazimisha majaji na mahakimu wasitende haki. Kumbuka hawa watu wanamwamini Mungu. Msiwape mzigo mzito wa dhambi hawa watu ili tu kufanikishs malengo yenu ovu yasiyo ya haki.

3. Anza mchakato wa kuliponya Taifa baada ya damu zisizo na hatia zilizomwagwa kutokana na vitendo vya utekaji. Damu zisizo na hatia zinalia, zinataka haki!
Ni bahati mbaya mtu akiwa ana shiba kiburi na dharau humjaa ukweli ni kuwa mwisho wake huwa sio mzuri
 
Na bado. Mpaka mlie hadharani! Hakuna cha Novena wala nini? Nani alikwambia Novena iliwahi kusaidia chochote wapi nchi gani? Pelekeni Novena Congo DR kama kweli inaleta amani. Nchi Ina amani eti Novena! PUMBAVU!!
Subiri matokeo watu wanamlilia Mungu wao
 
Back
Top Bottom