Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,483
- 8,663
- Thread starter
- #81
Ndio na amezikwa janaHii taarifa imethibitishwa?...
Ndio na amezikwa janaHii taarifa imethibitishwa?...
Mitaa ya don boscoEneo gani hapo Veta, magengeni, Mnarani, Msikitini, Mashineni, Makimbilio
may be alikua kwenye 'gridi'Ana miaka mingi katika ufundi hawezi kuchukua uhai wake kwa hyo simu moja
Pia kifedha hakuwa vibaya
Asante Mkuu utaratibu wa mazishi upojeMitaa ya don bosco
Mwenye product ya unga wa sozi..nimeambiwa janaSozi gani mkuu
We naye una Matatizo yako binafsiJapo sijui kisa nini ila nina wasiwasi mwanamke ndiye kahusika na huu mkasa
Yapi hayo mamaaWe naye una Matatizo yako binafsi
tanchi ndo nini?Alikuwa anaishi mwenyewe bila mke/familia? Kama na familia walihojiwa hao members wa familia? kama alone possible kapigwa tanchi.
kwa nini?Kwa wanaoyajua maisha ya Morogoro hawawezi kushangaa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tanchi=kunyongwatanchi ndo nini?
ohoo!!! inakuaje lakini marcus garvey a.k.a mzee wa black starrTanchi=kunyongwa
Irie my brother nipo nacruise ndani ya BLACK STAR LINEohoo!!! inakuaje lakini marcus garvey a.k.a mzee wa black starr
Unamsifia eti mwanaume wakati huyo ni mjinga tu! Hukmu ya mtu kujinyonga ni sawa na kuwa ameidhulumu nafsi yake!ukisikia mwanaume ndio huyu sasa ukiwa na roho ndogo huwezi kufanya aliyofanya huyu baharia
Mmh... ..mbona wewe hukujinyonga?Japo sijui kisa nini ila nina wasiwasi mwanamke ndiye kahusika na huu mkasa
Ahaaha nijikute tu najinyonga kizembe😂

Japo sijui kisa nini ila nina wasiwasi mwanamke ndiye kahusika na huu mkasa




mkuu hizo chuki na wanawake tangu lin
