Oh okayhuwa yanatolewa kupeleka watu mazishi huwa hayawi mengi hutoa basi moja tu
Picha imepigwa lini hii unayoitumia kufikia maamuzi mazito haya !Kwa maoni yangu ukimtizama tu inaonyesha hakujinyonga, Jeshi la Polisi wafanye uchunguzi wa kina
Sent using Jamii Forums mobile app
ukisikia mwanaume ndio huyu sasa ukiwa na roho ndogo huwezi kufanya aliyofanya huyu baharia
Yako vipi hayo maisha mkuu?Kwa wanaoyajua maisha ya Morogoro hawawezi kushangaa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuacha ujumbe wowote, halafu unasema amejinyonga, nani kakuambia kwamba amejinyonga? Kwanini usiseme kwamba amekutwa ananing'i nia juu ya mti au dari, ili vyombo vya usalama ndo viseme kama alinyongwa au kujinyonga!Kattika hali ya kustaajabisha wengi Fundi.simu Maarufu mkoani Morogoro aliyejulikana kwa jina la Rashidi Nyuki, mkazi wa Kihonda veta amejiua kwa kujinyonga.
Hakuacha ujumbe wowote polisi wanaendelea na uchunguzi.
View attachment 1709402
Wala hujakosea... Wanaojinyonga yafaa wapewe tuzo ya heshimaukisikia mwanaume ndio huyu sasa ukiwa na roho ndogo huwezi kufanya aliyofanya huyu baharia
Naomba ufafanuzi maisha ya Morogoro yakoje mkuuKwa wanaoyajua maisha ya Morogoro hawawezi kushangaa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huyo anaijua Morogoro vizuri kweliNaomba ufafanuzi maisha ya Morogoro yakoje mkuu
Eneo gani hapo Veta, magengeni, Mnarani, Msikitini, Mashineni, Makimbiliomkazi wa Kihonda veta
Ni kweli,huyu fundi tumjengee sanamu ya ukumbushoWala hujakosea... Wanaojinyonga yafaa wapewe tuzo ya heshima
Alipoteza Iphone ya mteja nini?
Wanaojinyonga ni wengi mkuu tukisema tuwajengee sanamu tutakuwa na masanamu mengi kila mkoa.Ni kweli,huyu fundi tumjengee sanamu ya ukumbusho
MuhaAtakuwa muhehe huyo
Wahehe ndio hupenda sana kujinyonga nadhani hata wakiandika CV pale kwenye eneo la hobbies wahehe wanatakiwa waandike katika hobby mbalimbali walizonazo mojaeapo waandike Kujinyonga